Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

Supastar

Senior Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
110
Reaction score
94
Ipo hivi, mara nyingi wadada mnateswa na midomo yenu kwenye ndoa, mnaropoka mnajibizana, mnakalipia utadhani na wewe ni mwanaume, midomo yenu miepesi kutoa neno bila kuchuja kwa waume zenu

Sasa kama sahivi mumeo au mpenzi wako HAKUSIKILIZI ujue tuu kuuanafanya hivyo makusudi kukuumiza ili ujione boya kwa maneno yako ya kumvua heshima, wadada yapimeni maneno yenu kabla ya kuyatoa

20200322_192504.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuropoka ni tabia mbaya kwa wanawake na wanaume pia. Kuchuja maneno kabla ya kuongea ni jukumu la kila mmoja, awe mwanaume au mwanamke!
 
Mkuu ukishindwa kumkata mabanzi mkate hata mtama!
Korona itusumbue na wao!!
 
Kuropoka ni tabia mbaya kwa wanawake na wanaume pia. Kuchuja maneno kabla ya kuongea ni jukumu la kila mmoja, awe mwanaume au mwanamke!
Wanaume tunajitahidi kuchuja hawa akina mwajuma hawachuji wao ni kuongea litakavyotoka tuu aibu ataiona anaeambiwa na wanaosikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iko hivi mara nyingi wadada mnateswa na midomo yenu kwenye ndoa ,mnaropoka mnajibizana,mnakalipia utadhani na wewe ni mwanaume ,midomo yenu miepesi kutoa neno bila kuchuja kwa waume zenu

Sasa kama sahivi mumeo au mpenzi wako HAKUSIKILIZI ujue tuu kuuanafanya hivyo makusudi kukuumiza ili ujione boya kwa maneno yako ya kumvua heshima ,wadada yapimeni maneno yenu kabla ya kuyatoa

Uzi tayariView attachment 1396209

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitutisheee....tafuta hela uone km utafokewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MWANAMKE MWENYE GUBU KAMA HUYU

Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuamsha mkewe

MUME:Amka twende jogging mke wangu?

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?

MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?

MUME: Basi yaishe endelea kulala

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?

MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby

MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?

MUME:Jamani mi sijasema hilo

MKE:Kwa hiyo mie muongo?

MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii

MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.

MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"

MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu

MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimfokea ndo hizo hela zinakuja? Mi naona ndo unampa stress ashindwe hata kufocus na kazi zake zinazokufanya uende chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume mwenye hela anaanzaje kufokewa?

Huyo asiye na pesa afanye kuvumilia as na yeye anarudi na stress zake anamwangushia mke ..make akireact mambo ni moto.

Jifunzeni pia kuwasugua wake zenu..akianza kelele MPE mate ...mpige show katikati chomoa mwambie endelea kuongea.
 
Kuropoka hakufai kwa mwanamke...

Unakuta kamtu kana mdomo mrefuuuuuuuu



Sema nasisi tujitahidi Kupunguza mazingira ya Kuwafanya waongeeeee....
 
Kama ulijua hana hela kwanini ulijioendekeza kuolewa naye? So ungeenda kuolewa na mwenye hela?
Mwanaume mwenye hela anaanzaje kufokewa?

Huyo asiye na pesa afanye kuvumilia as na yeye anarudi na stress zake anamwangushia mke ..make akireact mambo ni moto.

Jifunzeni pia kuwasugua wake zenu..akianza kelele MPE mate ...mpige show katikati chomoa mwambie endelea kuongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume mwenye hela anaanzaje kufokewa?

Huyo asiye na pesa afanye kuvumilia as na yeye anarudi na stress zake anamwangushia mke ..make akireact mambo ni moto.

Jifunzeni pia kuwasugua wake zenu..akianza kelele MPE mate ...mpige show katikati chomoa mwambie endelea kuongea.
ha ha ha inaonekana una uzoefu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom