Recent content by sunsikwetu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone

    Hehe nasikia anatoka kwenye familia ya kitajiri sio masikini anayetegemea siasa kama yule jamaa Tindu. Hili limekaaje? Pia Wakurya wanapendana sana na wanapesa hawashindwi kumsponsor kijana wao na harakati zake. Hili sakata kama halina uhalisia labda kama aliwekewa mtego akajaa
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kama Unataka Kunila Si Useme Tu Usizunguke?

    UMalaya ndio taaluma ya kwanza dunaini. Sasa unashangaa nini, unataka ukutane na church girl bar?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini watumishi wengi wanapoongea huwa kama wanaongea na wanawake tu makanisani?

    Nimefuatilia na mmoja nimemaliza kumfuatilia. Yaani hot ubarikiwe yake anaongea kana kwamba jinsia ya mkutano wake ni ya kike tu. Na naona ndio wanaomfuatilia na kucheka sana mkutanoni kuliko wanaume. Hii imekaaje. Wakina mama muache kuwajaza vichwa watumishi wakatusahau na sisi wababa ambao...
  4. S

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Colombia utadhani wanatumia madawa. Wanakimbia na kushambulia kama nyuki.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali

    Morroco wataitoa france
  6. S

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Nyuma ya hizi match ni biashara. Messi kutolewa awamu hii na Cabo Verde kuingia ni sawa na kuunguza mtaji. Ndio maana taharuki haikuwa kubwa kwa mashabiki kuliko kwa wenye worldcup yao
Back
Top Bottom