Recent content by Sun is Sun

  1. S

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Sio kwamba natafuta sifa au nataka kubishana na mtu kuhusu imani. Lakini nikitazama yanayoendelea duniani vita, mauaji, watoto wanaoteseka, njaa, magonjwa na watu wasio na hatia kupoteza maisha naanza kujiuliza kwa dhati kama Mungu yupo na ana uwezo wote, kwa nini anaruhusu mateso haya...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Jamani niruke nae au nighairi?

    Nimeusoma wote, kwa wanaofanya kazi kwenye migahawa mara nyingi huwa na vitendo kama hivyo na si kuwa unapendwa. Halafu aliyekuambia mtu akinawiri hawezi kuwa na ngoma? Au wewe bado ni mtoto?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Jamani niruke nae au nighairi?

    Huyo fala hajielewi.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Jamani niruke nae au nighairi?

    We jamaa una utoto mwingi, yani ukichekewa unapendwa?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Morocco itatinga nusu fainali kombe la dunia-2026

    Tunasubiri huu utabiri wako.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Aviator

    Siku huyu mdudu anayekula pesa za watu akifungiwa humu nchini , vijana tutajenga na tutapendeza kweli kweli.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Njia ya kutengeneza milioni 100 bila mtaji... ila inataka moyo wa chuma

    Huu mradi haiwezekani, ni ufala.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Si vyema kupinga kila kitu, kuna ndoto niliota sitokaa niisahau maisha. Ni kama upo LIVE.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Hakuna ulichoelezea hapa.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Hakuna unachokijua, majibu yako ni mepesi sana.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Raha ya Sex ni usafi

    Sawa Mkuu.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Raha ya Sex ni usafi

    Natafuta wa namna hiyo siwapati, au kwa sababu sina pesa?😂😂😂
  13. S

    JamiiForums Tanzania Raha ya Sex ni usafi

    😁😁😁
  14. S

    JamiiForums Tanzania Raha ya Sex ni usafi

    Nyeto imenilea, siiachi😂😂😂
Back
Top Bottom