Recent content by Sun is Sun

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini content creator Zayoo hapewi nafasi anayostahili?

    Anahitaji support huyu Bwanamdogo.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini content creator Zayoo hapewi nafasi anayostahili?

    Kijana anastahili makubwa.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini content creator Zayoo hapewi nafasi anayostahili?

    Kuna watu wana vipaji vikubwa, wanafanya kazi nzuri na wana uwezo wa kufika mbali, lakini bado hawapati recognition wanayostahili. Kwa upande wangu, Zayoo ni mmoja wao. Nimekuwa nikifuatilia content zake na naamini kabisa huyu kijana ana uwezo mkubwa. Ana creativity, anaweza ku-entertain watu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Kama hunuki uchi sawa.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hanipi muda lakini yupo online muda wote

    Huyo amepata mwingine, shtuka binti.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Sio kwamba natafuta sifa au nataka kubishana na mtu kuhusu imani. Lakini nikitazama yanayoendelea duniani vita, mauaji, watoto wanaoteseka, njaa, magonjwa na watu wasio na hatia kupoteza maisha naanza kujiuliza kwa dhati kama Mungu yupo na ana uwezo wote, kwa nini anaruhusu mateso haya...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Jamani niruke nae au nighairi?

    Nimeusoma wote, kwa wanaofanya kazi kwenye migahawa mara nyingi huwa na vitendo kama hivyo na si kuwa unapendwa. Halafu aliyekuambia mtu akinawiri hawezi kuwa na ngoma? Au wewe bado ni mtoto?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Jamani niruke nae au nighairi?

    Huyo fala hajielewi.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Jamani niruke nae au nighairi?

    We jamaa una utoto mwingi, yani ukichekewa unapendwa?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Morocco itatinga nusu fainali kombe la dunia-2026

    Tunasubiri huu utabiri wako.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Aviator

    Siku huyu mdudu anayekula pesa za watu akifungiwa humu nchini , vijana tutajenga na tutapendeza kweli kweli.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Njia ya kutengeneza milioni 100 bila mtaji... ila inataka moyo wa chuma

    Huu mradi haiwezekani, ni ufala.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Si vyema kupinga kila kitu, kuna ndoto niliota sitokaa niisahau maisha. Ni kama upo LIVE.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Hakuna ulichoelezea hapa.
Back
Top Bottom