Recent content by Sun is Sun

  1. S

    Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    Bora usiijue, Mimi kwa sasa hakuna wa kunishawishi kucheza tena ule utapeli.
  2. S

    Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    Jana odds zilikuwa nyingi za wazi ukachagua hii ngumu!!!
  3. S

    Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    Michezo yote ya casino, nilishaacha na hakuna anayeweza kunirudisha kwenye utapeli. Niliamua kwa roho moja.
  4. S

    Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    Hahahaha Rubani nilisalimu amri, mda sasa.
  5. S

    Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    Nataka kushiriki uzoefu wangu kama somo kwa wengine. Nilicheza mchezo wa Aviator, ambao walisema ni 'provably fair', lakini kwa kweli nilipoteza hela nyingi sana. Mchezo huu uliharibu hali yangu ya kifedha na kuniacha na pressure kubwa ya akili. Zaidi ya hasara ya pesa, niliona pia jinsi...
  6. S

    Watanzania na changamoto ya matumizi ya lugha ya kiingereza mitandaoni

    Hello Wana jamiiforums? Ni jambo lisilopingika kwamba lugha ya Kiingereza ni lugha muhimu katika dunia ya leo, hasa kwenye elimu, ajira na mawasiliano ya kimataifa. Hata hivyo, hali inayojitokeza mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii inaonyesha kuwa Watanzania wengi hawana uelewa mzuri wa...
  7. S

    Adui mkubwa wa maendeleo kwa Vijana na wenye maisha ya chini ni BETTING.

    Wadau hivi kuna app zinatoa Correct scores ama miyeyusho tu?
  8. S

    Adui mkubwa wa maendeleo kwa Vijana na wenye maisha ya chini ni BETTING.

    Kule Aviator huku Sports, Vijana hatutoboi.
Back
Top Bottom