Sio kwamba natafuta sifa au nataka kubishana na mtu kuhusu imani. Lakini nikitazama yanayoendelea duniani vita, mauaji, watoto wanaoteseka, njaa, magonjwa na watu wasio na hatia kupoteza maisha naanza kujiuliza kwa dhati kama Mungu yupo na ana uwezo wote, kwa nini anaruhusu mateso haya...
Nimeusoma wote, kwa wanaofanya kazi kwenye migahawa mara nyingi huwa na vitendo kama hivyo na si kuwa unapendwa.
Halafu aliyekuambia mtu akinawiri hawezi kuwa na ngoma? Au wewe bado ni mtoto?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.