Recent content by Sun is Sun

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Ubaya ni kwamba umeniacha sina kitu na masomo naenda kusitisha.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Ni utapeli uliojazwa uongo.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Mchezo umeniharibia future kabisa.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Nimeshakoma.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Kampuni zimekuwa nyingi hatari.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Naacha kwa sababu, kiasi cha ada kimeliwa.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Ramani wapi?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Ninaandika ujumbe huu kwa maumivu makubwa sana. Inaonekana nitalazimika kukatisha masomo yangu kutokana na pesa za ada na matumizi kuishia kwenye mchezo wa AVIATOR. Mwanzoni niliona kama ni njia rahisi ya kupata hela. Nilianza kwa bet ndogo ndogo, nikishinda mara chache nikajikuta naamini...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Tutafute vipi hizo pesa?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Humu kila mtu tajiri, sisi tumekosea njia kumbe.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kwa pharmacy council

    Ni ukweli usiopingika kuwa sheria na taratibu zimewekwa kwa lengo la kulinda afya na usalama wa wananchi. Hata hivyo, katika utekelezaji wake, kuna umuhimu mkubwa wa kuzingatia pia hali halisi ya maisha ya wahusika. Kumekuwa na matukio ambapo mtu anakutwa na kosa, na hatua kali kama faini au...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    Bora usiijue, Mimi kwa sasa hakuna wa kunishawishi kucheza tena ule utapeli.
Back
Top Bottom