Recent content by Sumve 2015

  1. Sumve 2015

    Naombeni mbinu za kumpata Mwanamke wa Ulaya

    Uzi unanihusu huu..
  2. Sumve 2015

    Naomba kujuzwa gharama za kipimo cha DNA

    Hahahahaha...
  3. Sumve 2015

    Arsenal anatolewa na Bayern Munich leo

    Azam mwenyewe kapita na wewe tiari..
  4. Sumve 2015

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Fogo Pub ipo na nimekula kitimoto hapo last week, na wanaochoma ni haohao akina Kalisa sema wamebaki wawili mmoja yuko hapo mwingine yuko anakuwa anazunguka..mwenzao alifariki kwa ajari mwaka jana akitokea Malaika.
  5. Sumve 2015

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Wanachoma, walikuwa wakaka 3, alofariki ni mmoja wao.
  6. Sumve 2015

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    Fogo Pub, Iko ka unaelekea TBL upande wa kushoto.
  7. Sumve 2015

    JamiiForums Usiku wa manane

    Karibu tulinde..
  8. Sumve 2015

    Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Mange anaongea upumbavu wake na tunauona, nchi zote hizo plus the eastern wing washindwe kutuonesha chochote kilichotokea nani ataamini Bibi?
  9. Sumve 2015

    Kuna anayeifahamu Maabara ya kupima na kugundua magonjwa ya wanyama jijini Mbeya?

    MARTI vyote vinafundisha kilimo, ndani ya mafunzo ya kilimo kuna kimodule cha livestock production pekee na sio tiba, production na tiba za mifugo hufundishwa na LITA (zamani LITI)...so huwezi soma vyuo vya kilimo ukasema umesomea mifugo na pia huruhusiwi kutibu.
  10. Sumve 2015

    Freddy Michael vs Guedde

    Zote takataka tu hizi..
  11. Sumve 2015

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Kwani alisema atakutajia wewe na mmeo? au tunasubiri wewe na nani?
  12. Sumve 2015

    FT: Singida FGT 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | CCM Kirumba | 14.4.2024

    Vyura wanaogelea tu kirumba, leo hawa Singida kazi wanayo.
  13. Sumve 2015

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Hehe...mtoto wa kipalestina.
  14. Sumve 2015

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Uko dunia ya pekeako nadhani, unazungumzia mchunga mbuzi alokutwa amekufa juzi na kusababisha settlers wa kiyahudi kulipiza kisasi kwa kuwapelekea moto wapalestina west bank ka sijakosea.
Back
Top Bottom