Na huyo anayehutubia sasa hivi ni nani? naheshimu sana weledi wako ila mihemuko na Matusi inakudiscredit, hivi PM wa Israel kweli anaweza uwawa kwa hizo makombora yanayotokea huko yakeonekana na kujulikana yanatarget wapi kwa muda wote huo na asiwe evacuated?
Hehe..elimu kaka elimu, radi ni umeme, au ndo nyie mnaoaminigi zile mambo za radi ni kama Jogoo Mwekundu, sa radi inakasirika vipi na kufuata MTU? umeme hata uwe mkubwa vipi bila ya conductor (waya) kuufikisha kwenye TV Katu haiwezi waka, ukikaa sehemu radi imepiga na hakuna conductor huwezi...
Hakuna kitu kama hicho, huyohuo kondoo unaedanganya anauwezo wa kuzuia radi huko machinjio ya kisasa kabla ya kuchinja anafanyiwa stunning tena kwa umeme mdogo kabisa na anazilai vizuri tu.
Kwa Ufupi tu, radi ni umeme, kama ulivyo umeme unaoutumia kila siku umeme uko na tabia zake, moja ya tabia zake muhimu ambayo hapa taizungumzia ni ile ya kutafuta shortcut (njia fupi kukamilisha mzunguko wake).
Mfano, kama uko na uwezo wa kutumia vidole vyako viwili (gumba na kinachofatia)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.