Fogo Pub ipo na nimekula kitimoto hapo last week, na wanaochoma ni haohao akina Kalisa sema wamebaki wawili mmoja yuko hapo mwingine yuko anakuwa anazunguka..mwenzao alifariki kwa ajari mwaka jana akitokea Malaika.
MARTI vyote vinafundisha kilimo, ndani ya mafunzo ya kilimo kuna kimodule cha livestock production pekee na sio tiba, production na tiba za mifugo hufundishwa na LITA (zamani LITI)...so huwezi soma vyuo vya kilimo ukasema umesomea mifugo na pia huruhusiwi kutibu.
Uko dunia ya pekeako nadhani, unazungumzia mchunga mbuzi alokutwa amekufa juzi na kusababisha settlers wa kiyahudi kulipiza kisasi kwa kuwapelekea moto wapalestina west bank ka sijakosea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.