Usiseme dini zote,ukisema dini zote utakua unakosea,ila changamoto zamaisha ndio zinachangia,tatizo hili limekua kubwa mno na waathirika wakubwa ni watu walioumia na kuchoka mioyo hususani wanawake.MUNGU ATUSAIDIE KWAKWELI
mi namkumbukaga huyu fadiga alikua anaenda kurusha mpira,refarii akamwambia achomekee kwanza jezi ndio arushe mpira,basi akawa anachomekea huku anamuangalia refa kwa dharau sana,ile clip hadi ilirudiwa na mtangazaji alicheka sana.Kifupi kikosi hiki mpira walikua wanaujua sana na pia walikua...
Acheni uvivu na unafiki wakuu,kama mnaona connection hamjamaliziwa basi mjiongeze mfanye afititi wenyewewe jua ni bidhaa gani zinatoka sehemu husia then unaingia jazini na huo ndio ubunifu na utofati wa biashara unapoktja,jwa hiyo kama yeye alikua anasambaza chumvi basi mnataka wote humu...
Ila tusisingizie uchawi,huo uzembe umeanzia kwa dereva wa ist imekutwa k-vant kwenye gari pamoja na operator wa tractor nae anamakosa,huyo wa hice ndio kichaa wakutupwa kabisa.Huyu bila shaka alitumia kilevi pia.ALL IN ALL MAY THEIR SOULS REST IN PEACE
Nimekua nikijiuliza sana kwa muda mrefu,ivi we mtu mwembamba wanavokuita ivo.Hua wanakulinganisha na nani?Inamaana wewe ni mwembamba kunizidi mimi?Hili suala linantatiza sana kichwani mwangu,nisamehe lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.