Recent content by Suma drago

  1. Suma drago

    SoC04 Nini kifanyike kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana kuelekea Tanzania tuitakayo

    ILI KUTATUA TATIZO LA AJIRA MIMI NAPENDEKEZA SERIKALI IWEKEZE NGUVU UBUNIFU WA WA RAIA WAKE,PIA KWENYE MIFUMO YA ELIMU KUWE NA MASOMO YA UJASIRIAMALI
  2. Suma drago

    Anataka turudiane

    MTU anapokuja kuomba ushauri bac kuna kitu ambacho amewaza ila anahitaji kujua kama yupo sahihi ama lah, HAKUNA KITU KINALETA RAHA KAMA KUMUONA EX WAKO AKIWA ANANYONYOKA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. Suma drago

    Anataka turudiane

    Yani yale ya rapcha ndo yaliyonikuta aisee
  4. Suma drago

    Anataka turudiane

    Wanandugu nimerudi tena, nipeni ushauri kuhusu jambo hili. Miezi minne nyuma nilikuwa na mpenzi niliyempenda sana mpaka kufikia nikajitoa kila hali ili awe na furaha. Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama angenifanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na...
  5. Suma drago

    Jinsi ya kuweka address ya silent ocean

    Nahisi hiyo ndio njia salama zaid, je unaweza kunipa ABC kupitia njia hiyo ili kuepuka matapeli wa kichina?
  6. Suma drago

    Jinsi ya kuweka address ya silent ocean

    Wakuu nilikua naomba msaada JUU ya manunuzi ya mtandaoni. natamani kuwa mfanyabiashara wa vitu vya Electronic ambayo kwenye site ya alibaba vinauzwa kwa bei rafikiila changamoto huwa ni kuvisafirisha, ila nasikia kuna wasafirishaji wakitanzania ambao ndo hao silent ocean. nilijaribu kuwasiliana...
Back
Top Bottom