yule mtoto wa nyumbani kambeba Kubenea. ila lazima ujue hakuna uchafu wa kifedha unaoendelea ndani ya chadema ambao komu haujui, kawa mkurugenzi wa fedha na utawala for 10 good years, hata mipango ya kuumiza na kuuwa watu wanaijua vyema, ni ngumu kuwafukuza kwa nguvu hiyo na ushahidi walio nao.
Kama ilivyo ada mtatokwa humu na mapovu na kutetea sana, ila habari za uhakika ni kuwa huyu jamaa na wenzie wanatuhumiwa kutumia nafasi zao huko Posta kusafirisha madawa ya kulevya, wenzake tayari wanahojiwa na yeye alinusa mapema kuwa game zao zimesanuka akakimbia, hivyo ni mtu aliyejua nini...
akiongea na kipindi cha XXL, siku ya jumatatu iliyopita ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu toka kifo cha Deo Filikunjombe. Zitto alisema kuwa kwanza hadi sasa haamini kuwa Deo alifariki, na kuwa kwake yeye urafiki wake na Deo ulienda mbali ya urafiki na ukawa kama undugu.
pia...
MTIFUANO KAMPENI ZA CHADEMA TURWA-TARIME
Viongozi walamba pesa za kampeni, waamua kutembea nyumba kwa nyumba
Wapanga kuvunja kanuni na maadili ya uchaguzi kwa kuomba kura siku ya kupiga kura.
Mgombea agoma kutoa pesa za biashara alizokopa VICOBA
Hali ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya...
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Tarime Mjini, Hamisi Nyanswi (CHADEMA), usiku wa kuamkia jana majira ya saa 10 usiku alifumaniwa na kupata kipigo kikali, hali yake sio nzuri na amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Tarime.
Taarifa zaidi zinasema kuwa, Hamisi alikuwa amelewa na alimchukua demu wa...
WEWE MWANAHABARI HURU NI MUONGO NA MZUSHI, NDIO MAANA MKE WAKO ALIPEWA UBUNGE CHADEMA BAADA YA KUMEGWA, MKE WAKO CELCILIA PARESO (MB) ATAENDELEA KULIWA NA MBOWE NA GENGE LAKE ILI UENDELEE KUPATA CHAKULA MEZANI. HAYO MANENO YA MWISHO UMEMLISHA JANUARI NA HAYAPO KATIKA UJUMBE WAKE, KATIBU MKUU WA...
Hongera kwa uchambuzi mzuri na makini. Kweli unapowekewa ngazi na kukwea, ni vyema ukumbuke kazi nzuri ya mtengeneza ngazi na aliyekuwekea ngazi ukapanda. Kwa mtazamo wangu moja ya dhambi za viongozi wengi nchini ni kutothamini kazi za waliotangulia, kuzienzi na kuziheshimu. Tunajikita kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.