Pole sana Mkuu na hongera kwa ukurasa mpya!,uandishi wako na majibu yako yananiaminisha kuwa wewe ni mtu mwema sana na mwenye kipaji cha hali ya juu na unayeweza kuishi na mtu wa aina yoyote ile!,Natumai hutamwangusha CONTROLLER!,Nakutakia kila lakheri katika safari yako mpya ya maisha!
Duuh!,,tunakoelekea sasa si kuzuri!,,hii kamata kamata inachafua sana taswira ya nchi yetu,ndani na na nje ya mipaka yetu!,sijui kwanini hatutumii ueledi zaidi katika kutatua haya masuala!
Ujumbe fikirishi sana huu na wenye simanzi ndani yake!,,ni matumaini yangu kuwa Mh.rais ameupata na ataenda kuufanyia kazi!,,,Pamoja tuijenge nchi yetu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa majeshi ni taasi kubwa kama ya rais!,na ndiyo maana nchi ikiingia kwenye machafuko ya kisiasa mkuu wa majeshi ana uwezo wa kuongoza nchi na jeshi lake na kutoa amri zinazotekelezeka!,hivyo si mtu wa mchezo mchezo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote maneno ya Askofu yanahitaji tafakuri jadidi ili uweze kuyaelewa!,bila fikra tunduizi hutaweza kumuelewa kamwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Watanzania bado tuna safari ndefu!,badala ya kujadili ujumbe uliotolewa,sisi tunajikita kwenye mabishano ya udini,(ubaguzi),,,Ubaguzi huu ukiendelea katika nyanja zote hakika hatutaendelea kamwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.