Niliyojiapiza kutoyafanya ukubwani yote yamenishinda. Hadi sasa nimeyafanya yote kasoro moja tu

kuwa na watoto sina kbsa na cjaoa pili kufanya mapenzi kwa gari tayar japo niliazima na kula tigo sina uhakika sana na hii kitu maana kama inakuja inakataa ila kwa mganga nimeenda mjuba mengne god ana bless yy siwez apiza chief
 
Hiyo ya 2 niliapa sanaaa,but ndo imekuwa too much.Sijui wanakosa nn ndani hawa wamama?mbona wanasumbua vijana sn! Yani wananitaka wenyewe
 
Hilo lililokushinda mie nimeshalifanya tena nimekula mara nyingi sana. Hii dunia usijiapize kizembezembe
 
Daahh mi ndio sitaki hata kuwaza maana yooote yaliyokuwa nakatazwa zama hizo nipo kinda, na kupewa mifano hai ya watu wazima wakati huo waliofanya hayo mambo na matokeo waliyopata..

Mi yooote nishafanya na mengine naendelea kufanya km kawaida! Kasoro kuua tu nadhani.
Nilichogundua yale makatazo hayakua na uwazi wala njia au mpango mbadala wa kuyakwepa.

Kiufupi ni sehemu ya maisha, na ninapotubu huwa natubia na maasi ya badae ya kudhamiria au yale ya nje ya uwezo binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom