Wengine kina nani, kwa nini unajipa uhalali wa kiwasemea wengine, jisemee mwenyewe usitafute kichaka cha "wengine". We jamaa unaonekana una mambo ya kijinga kabisa.
Labda km ulitumia ungo wa bibi yako! Kwa gari no way! Kwanza tu kutoka posta kuitafuta Mbagala hutoboi chini ya saa moja utoke hapo mbagala uitafute Mkuranga saa la pili limekata Hata km utatembea usiku hiyo barabara ya kusini hadi kufika Mkuranga Ina magari mengi so huwezi ukatembea zaidi 100...
Mahali pengine pamewekwa 50 wala hakuna cha shule wala makazi mfano unapotoka Morogoro ukishapita Msolwa baada ya shule ya Emperial kuna 50 mfululizo unajiuliza za nini mahali pale?
Nadhani ulikuwa na wajibu wa kufanya zaidi ya kuandika hapa, kama raia mwema ulipaswa kutoa taarifa Kwa mamlaka ili hata likitokea la kutokea tuweze kuwanyoshea vidole kwa kupuuza taarifa ulizowapa. Zaidi hapa unaweza kujikuta umekuwa mtabiri na kusema nilisema na mambo km hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.