Recent content by Suleman Jr

  1. S

    Taswira za marehemu huacha kumbukumbu za kutisha

    Haya yote ni laana ya kua chawa wa magu Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  2. S

    Taswira za marehemu huacha kumbukumbu za kutisha

    Kwa hiyo aliemnyonga ndio kaandika ule ujumbe? Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  3. S

    Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

    Lazima tumkumbuke maana sio kwa maovu yale, kwa miaka yake shetani alipumzika maana alipata msaidizi sahihi. Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  4. S

    Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

    Lazima tumkumbuke maana sio kwa maovu yale, kwa miaka yake shetani alipumzika maana alipata msaidizi sahihi. Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  5. S

    Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Nilichogundua kupitia coment za humu team magu wanajua kila kitu kuhusu uovu wake sema wanajizima data kwa kua hawakuguswa kwa namna yoyote kwa ufedhuli wake Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  6. S

    Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Hivi wewe si ndio ulimuonya Ben Sanane mda si mrefu baadae akapotea? [emoji848] Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  7. S

    Ambao tunafunga goli 2 bila kupumzika tukutane hapa tupeane ujanja zaidi tuweze kupiga tatu

    Kuna mjinga mmoja aliniletea msala, kaona mada insta "wanaume wote wanaounga la kwanza na la pili wataenda mbinguni moja kwa moja" Si akanitag, michepuko yangu 2 ikaona ila hawajuani, mmoja adi leo ugomvi haujaisha. Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  8. S

    Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

    Hivi hawezi kurudi tukamtandika bakora? Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  9. S

    Nyamongo kulikuwa na mwamba anaitwa Kenonke, historia yake inamfanya Jombi aonekane Mtoto mzuri

    Wee fuatisha mamuvi ya kihindi uje kufa. Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  10. S

    Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

    Kuna harufu mbaya hapa, yaani tunatumiwa namba badala ya picha Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  11. S

    Hivi Padri mtuhumiwa wa ubakaji na yeye ana Wakili?

    Una ushahidi gani kua katenda hayo? Hukuona yale ya mama na mwanae walimfunga baba kusingizia kabaka mwana? Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  12. S

    Rais Ruto aomba ahutubie kwa Kiingereza baadhi ya mawaziri waomba ahutubie kwa Kiswahili, Gesi ya Mtwara kufika Kenya!

    Alaaniwe anaekikuza kiswahili... Kinazidi kutufanya wajinga tuwe wengi na kutawaliwa kindezi. Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  13. S

    Kwanini hii nchi inatuchukia na kututesa sana Waafrika? Tuungane tuisusie

    Waarabu na wazungu na wahindi lao moja tu, pipa na mfuniko, hakuna mwenye nafuu kati yao Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  14. S

    Yanga ikiiondoa Al Hilal, nchi haitakalika Jumamosi

    Natamani Yanga itolewe ili iende shirikisho maana huko ndio kuna baadhi ya team anazoweza kuzifunga Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
  15. S

    Miaka mitano ya Hayati Magufuli taifa lilipiga hatua kubwa kuliko miaka kumi ya Jakaya

    Wanaotakiwa kuwa milembe mko wengi asee, pole mtoa mada
Back
Top Bottom