Recent content by sulejose

  1. sulejose

    Hivi Wasichana wa Arusha wengi hawajitambui au ni ulimbukeni?

    Wewe hata daslam wapo wengi sana tu
  2. sulejose

    Ulimwengu wa roho upoje?

    Kwani wewe Huwa hauoti ndoto zingine. Tofaauti na hiyo? ,,,Unajua mara nyingi sana Huwa tunafuata akili zetu zikiamini kitu flani nikweli au kinauhusiano na kitu flani basi nivigumu kuikataza, kwahiyo nikwammbie tu majananga yapo nayataendelea kuwepo tu uote au usiote, lakini nilazima majanga...
  3. sulejose

    Kwanini Unaishi !

    Well said.
  4. sulejose

    Kama kila taifa tajiri linaabudu Mungu wao. Je, Mungu wa kweli ni yupi?

    Mmoja vipi wakat umesoma hapo juu mkuu na majina umetajiwa na mtoa mada
  5. sulejose

    Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Finishing nzuri naomba huu Uzi ufungwe maana umemaliza Kila kitu mkuu.
  6. sulejose

    Ulimwengu wa roho upoje?

    Ndoto ni mfululizo wa picha, mawazo, mihemko na hisia ambao unatokea akilini, kwa kawaida bila makusudi, katika hatua fulanifulani za usingizi, Huyo mzee kutabiri hailazimishi sisi kuamini kuwa Kuna ulimwengu wa roho njo na picha digital ni kubwa saivi
  7. sulejose

    Ulimwengu wa roho upoje?

    Huo ulimwengu mbona mi siuoni? Au upon kwaajili yawatu kadhaa?
  8. sulejose

    Kuna wanadamu na wanadamu viumbe vipya. Hawa wanadamu viumbe vipya ni akina nani hasa?

    Kawaida ya mwanadamu mjinga ni kuamini vitu vizuri,vikubwa ambavyo havipo.
  9. sulejose

    Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

    Nina wazo la biashara mkuu ni pm kamautojali.
Back
Top Bottom