Recent content by Sule the don

  1. S

    Mwanaume kuota matiti

    wakuu inakuaje mwanaume anakua na matiti na dawa yake ni nini?
  2. S

    Tecno boom j7 vs nokia lumia

    Wakuu kwa wenye uzoefu ipi nzuri kwa matumizi ya mwanafunzi na ya kawaida na bei zake vipi kwa mwanza
  3. S

    Natafuta kazi ya Plant Operator

    Asante natuma hiyo karibu mwingine
  4. S

    Natafuta kazi ya Plant Operator

    Nipo upande wa heavy equipment excavator operator
  5. S

    Natafuta kazi ya Plant Operator

    Asante mkuu nipo mkoani huku huezi nisaidia anuani zao
  6. S

    Natafuta kazi ya Plant Operator

    msaada kwa we unayefahamu wapi nitapata kazi tajwa hapo juu niandikie kampuni zinazohitaj watu wenye ujuzi kama wangu
  7. S

    Kujifunza kirusi na kichina

    Wanajamvi wapi nitapata shule au chuo cha kujifunza lugha hizo kwa hapa Tanzania
  8. S

    Grader Vs Excavator

    Fanya kunipa namba ya chuo au ya hao madogo niwaulze vzr hata ww pia waweza nieleza
  9. S

    Grader Vs Excavator

    Kiko wap chuo na utaratibu wake wa kujiunga plz
  10. S

    Grader Vs Excavator

    asante kwa ushauri
  11. S

    Grader Vs Excavator

    Kati ya hizo ipi soko lake la ajira lipo juu na maslahi yake yako aje? na ipi inafaa kuisoma
  12. S

    Laboratory,Health record management and phamarcy ipi kozi nzuri?

    Naomba kujua ipi kati ya kozi hizo inalipa na soko lake la ajira lipo aje?
  13. S

    Natafuta chuo chenye kozi ya Health record management

    Kama unajua chuo chochote knachofundisha kozi tajwa hapo juu kwa ngazi ya cheti na diploma naomba unifahamishe kwa kuandika jina na mawasiliano kama yapo nasubiri msaada wenu wapendwa
  14. S

    Friends wa kuchat!!

    wadau kwa yeyote anayependa kchat afanye kunitext kwa 0763962571 Ful ushrikiano
Back
Top Bottom