Recent content by SUKUMAWIKI

  1. SUKUMAWIKI

    Rader recruitment matapeli?

    Mwenyewe jana wameni email kuwa inatatakiwa niende kwa usaili tarehe 29 mwezi cha ajabu wamenitaka nitume kwanza elfu 20 kwa AIRTEL MONEY 0782185442 Jion napokea ujumbe kwa simu yangu kuwa namba ile ya kutuma pesa imebadilishwa nsitumie ya kwenye email nitumie hii waliyontumia kwa simu...
  2. SUKUMAWIKI

    Kundi la vijana Tanzania ( jobless & graduates)

    To be honest vijana tunasafari ndefu sana hasa katika wakati huu matamko ni mengi yasiyotekelezeka alisema anahakiki watumishi leo kaja anasema anafumua mfumo wa utumishi ulikuwa wa kipigaji lakini akumbuke nayeye alikuwa ndani huo huo mfumo enzi akiwa waziri basi naye alikuwa mpigaji au...
  3. SUKUMAWIKI

    Mkuu wa Mkoa Singida Eng. Mtigumwe atengua amri Kandamizi iliotolewa na Mkuu wa wilaya ya Manyoni

    naona tatizo la mawasiliano ya hawa watu wawili hivi vyeo vngne vngefutwa tu kwa kwel havina tija
  4. SUKUMAWIKI

    Kauli ya Mh. Raisi kuhusu mkopo

    anajua kubeba sababu na yeye pombe madigrii yote kayachukulia hapo
  5. SUKUMAWIKI

    Madaktari watumbuliwa wilayani Malinyi

    sheria ichukue mkondo wake sie si watu wa mchezo mchezo kwenye mambo ya afya
  6. SUKUMAWIKI

    Waziri Ndalichako akijibu kuhusu mgawanyo wa mikopo TBC

    nchi inahitaji maombezi hii vinginevyo.............
Back
Top Bottom