Nakuunga mkono kwenye hili aisee zaidi naona ngozi laini laini kama si soft hatari NAPITA nakuaminia ebu tuletee anaemiliki hizi Jimbo mbili za Obama mkuu.
Wakati mwingine kuna watu wanamatatizo sana wananchi wanaona sawa tu yeye kimemkeleketa haya . NAPITA taklibani wiki moja sasa sijakuona humu ndani vipi Dodoma ilikuficha sana mkuu wa kazi
NAPITA jana na leo unaweka picha ambazo zinaibua mijadala mizito sana jana ile picha ya Nyerere hadi watu wakatukanana majitusi na leo huwenda yakatokea..........!!!!
Mkuu unakuja kimiya kimiya tu nasikia habari zako juu juu tu naona mtwara wametembelewa na tajiliiiiiii mkubwa Afrika wa kwanza Duniani wa 23 safi naona anazitumia Fursa vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.