Lwa karne hii vita ni vya kisayansi hakuna kutembea na vufaru na askari wa miguu ni drones na makombora ya masafa mafupi na marefu,jeshi letu linatakiwa kubadilika kwa la kisasa,pia tuache siasa sa kipuuzi
Wapunguze matumizi ya serikali,posho za wabunge zikatwe kwa 50% ili akili iwakae wasiwe wanakimbilia huko kwa ajili posho bwerere na pia mishahara yao ipunguzwe,kwani ubunge ni kazi ya kujitolea kama ilivyo mwenyekiti wa mtaa.
Kuna tatizo kwa idara ya usalama taifa,muajiri vijana wenye weledi,haiwezekani uharibufu mkubwa wa mali na maisha ya watu yatokee bila kuwa na habari au taarifa ya kiintelenjisia. Zuieni tatizo kabla ya kutokea sio kupambana na tatizo liloshatokea
Naomba kufahamu,nimetembelea kampuni mbalimbali za mabati ya rangi hapa Arusha,sitaji majina yao,sasa kuna hii tofauti ya bei ya bati za bando ambayo bati moja ya geji 30 inauzwa kwa tsh.23,000 hadi 24,000 lakini za kukatiwa hapo kiwandani mita moja inauzwa kwa tsh.13,000 hadi 14,500 kwa maana...
Tatizo ajira za kindugu na za kudumu Kwenye secta binafsi ajira niza mikataba na kama huna cha kutoa katika maendeleo ya shirika mkataba huaongezewi au pia husitishwa.
Wadau nategemea kuwekea sakafu tiles,sasa changamoto ni malipo ya fundi mweka tiles,maana kuna fundi ambaye alifanya shughuli nyingine za ujenzi ananiambia kuwa square mita ni sh. 9000.
Mafundi wengi ni madalali anauza kazi kwa mwingine naye ale chake.
Naomba kwa wenye uzoefu ni sh. ngapi kwa...
Wadau wa ujenzi nilikuwa nahitaji madirisha ya aluminum ila kuna mdau moja anayehusika amenijibu kuwa bei dirisha la aluminum ya rangi ya silver nitofauti na ya rangi nyeusi na kwamba nyeusi ni ghali, je kuna ukweli hapa au ni upigaji,
Nawasilisha anayefahamu anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.