Ukipenda boga penda na ua lake, hata hivyo kukataa kumuuhudumia mtoto wa mkeo kwa kisingizio cha usingo maza sio uwanaume labda uwe na mengine na sio kila unapotoa msaada au huduma nawe utegemee malipo mbona nyie singo faza tuna walelea watoto wenu vizuri nasie tuta anzisha mgomo
Ungejuwa kama tanganyika inainyonya Zanzibar unge futa reply yako Wazanzibari ndio wa mwanzo kupinga muungano nyie mlikuwa mmelala na kudai Wazanzibari wabaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.