Mtoto wa umri gani?kama ni under ten years nyie ndo mnapaswa mumfulie nguo viatu!na Kama nguo alizonazo ni Kauka nikuvae basi itakubidi umnunulie nguo mbili Tatu huyo ni mwanao na yupo chini yako !action zote za usafi unazofanya kwa mwanao fanya na kwa huyo mjomba wako
Kila Mtu Ana haki Yake ya kuchagua kuwa chama gani!!!sasa wao kuwa huko kuna tatizo???tofautisha kazi ya Mtu na itikadi ya chama!
Chadema ni chama cha wasomi na wenye kutumia point!!hapo hauna point zaidi ya ubaguzi!mnakichafua chama
Njoo na cd flash nikupe image !
Window 7 ultimate ,proffesional ,starter,home basic,interprise or na je ni 32 bits or 64 bits
Window 8 or 8.1 na je ni 32 bits or 64 bits .
Tell what you need from the above window version and types
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.