Inasikitisha, ila makosa yanafanyika tuangalie yanatatuliwa vipi? Nafikiri Mh. Kitwanga anaogelea kwenye mfereji wa maji taka yato kayo chooni kwake mwenyewe.
Nyerere alikuwa na nia njema kwa Taifa letu na dunia na katika uongozi wake amefanya mazuri mengi lakini pia kuna makosa, kama ukiukwaji wa haki za binadamu na majeshi yetu huko Uganda. Walipora na hata kubaka kutokana na simulizi za wapiganaji hao. Saint no step too far, he won't if like this.
Kifo hiki kinasikitisha sana na kimelistua Taifa (nakiri sikuwanamfahamu marehemu)haswa kwa mchango wa marehemu kwenye ulimwengu wa filamu. Napenda kutoa salamu zangu za rambirambi kwa wafiwa. Lakini msiba huu unamwangaza mtawala wetu, hivi kweli kiongozi wa Taifa anapataje muda wa kutembelea...
[/B]"PCCB seizes multibillion illicit sugar
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has impounded a consignment of contraband sugar worth Sh3.7 billion which an importer had sought to avoid paying tax for under the transit goods cover ."
From IPPmedia.com. Mwenye habari...
Akisisitiza umuhimu wa kumtanguliza Mungu kwa kila jambo, Lowassa alisema anamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumpitisha salama katika wakati mgumu.
Namshukuru Mungu hata katika kipindi kile ambacho nilikuwa naandamwa sana, niliyaweza magumu yote katika yeye anitiaye nguvu, tuendelee kumtegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.