Recent content by suck Kweyamba anatory

  1. suck Kweyamba anatory

    Nahitaji kazi ya Udereva, nipo Dar es Salaam

    NAPATIKANA DAR es salaam , gongo la mboto. Kazi ya uendeshaji magari pia pikipiki nipo tayari. Asante
  2. suck Kweyamba anatory

    Mliokutana mjini nendeni ukweni mkatambulishane

    Jaman naombeni msaada wenu mwenye copy ya barua ya posa naombeni maana ndugu yenu Nina kibarua kikubwa mbele yangu, nitumie kupita (Email: skweyamba2@gmail.com ) nitashukulu
  3. suck Kweyamba anatory

    Kila mwanamke anataka kuolewa na Mwanaume mrefu tu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao hawana loloteee! Wanachotazama ni pesa tu
  4. suck Kweyamba anatory

    Heshima kwa Brothers mliooa na mnaishi kwa upendo, amani na furaha katika ndoa zenu

    Tunashukulu mkuu, ila kumbuka dhahabu haiwez kung'ara paspo kuptishwa kweny moto, changamoto zpo kwenye maisha na ili kuwa mkamilifu na imara lazma hayo uyapitie then ndio baraka zikufuate, Chamsingi nikuwa na moyo wa uvumilivu, mwisho wa siku hayo yote hubak kuwa story, na furaha hutawara
  5. suck Kweyamba anatory

    Barua yangu ya Posa..!!

    Hongera sana kwa hatua hyo
Back
Top Bottom