Ubaya vinaweza kutoa majibu kwmba dogo ameingiliwa ila tatzo kuu litakuja ni nani uyo alimuingilia kimwili?
Labda dogo awe amepata ujauzito kwenye ayo mapambano ndo tutajua kati ya muuza mkaa na mwl.Jimmy nan mtuhumiwa kwa msaada wa kupima DNA test
Tofauti na apo mwl jimmy na baba Jose wapo huru...
Sasa kuna tatizo gani apo mbona wapo waliopata 30/40 walipataje unadhani kama sio juhudi kujituma na kufata kilichowaleta chuoni apo...wenye incomplete inawezekana hawajajaziwa baadhi ya test zao au marks za seminar kitu kinachokuwa solved kama wakipeleka scripts zao kwenye department husika na...
Naomba kuuliza maeneo ambapo mhitimu wa ba in economics and statistics anaweza kufanya kazi...pia fursa kwny soko la ajira kwa anaefahamu
Asante!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.