Usidanganyike na nadharia. Mpaka ukope banki lazima uwe na dhamana, ni dhamana gani benki waliyoiona hadi wakamkopesha hela ya kumalliza hiyo nyumba. Lukuvi alipiga sana hela alipokuwa Waziri wa Ardhi kupitia viwanja alivyo jimilikisha
Mnamaliza mwaka kwenye uongozi wenu mkiwa mnasugua soli za viatu kwenye corridors za Mahakama. Daaadadeki, uongozi ni kitu kimoja na uwezo wa kuongoza ni kitu kingine.
Uwezo wa kuongoza siyo sawa na matako ambayo hata Heche John anayo.
Wewe nani wa kujua hali ya Rais aliyonayo? We si nabii koko tu!! Mwaka 2025 wote mlikuwa mnasema uchaguzi hautafanyika, mara oo sijui nchi imemshinda, mara ooh atapinduliwa? Kiko wapi??
Mwaka huu kila mkikaa mansema hamalizi 2026!! Mmebakia hamna credibility kwenye utabiri wenu wa kishenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.