Recent content by Stuxnet

  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ziara ya kihistoria ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini urusi 🇷🇺

    Wala Samia hakukosea, ila humu JF kila mmoja ana jibu lake Siyo kazi ya Rais Samia kuiijibia Russia kuhusu sanctions maana yenyewe ndiyo ina sanctions. CHADEMA fanyeni kazi za kuingiza hela achaneni na ushabiki mbuzi wa kukosoa kila ambacho Samia anafanya
  2. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ziara ya kihistoria ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini urusi 🇷🇺

    Subiri official government statement
  3. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Wala Samia hakukosea, ila humu JF kila mmoja ana jibu lake Siyo kazi ya Rais Samia kuiijibia Russia kuhusu sanctions maana yenyewe ndiyo ina sanctions. CHADEMA fanyeni kazi za kuingiza hela achaneni na ushabiki mbuzi wa kukosoa kila ambacho Samia anafanya
  4. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Samia alijibu sawasawa kabisa ndiyo maana mwandishi/ facilitator hakuuliza tena follow up question. Swali tricky unalijibu kwa akili kubwa ili isiingie mtego wa kuuliza. Msijifanye kujuwa kuliko wenye kazi zao
  5. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kufurahia watu kutekwa ,mauaji, watu kupotezwa?

    Nimekaa miaka 30 kutengeneza mtaji, wanakuja hao mahayawani wanachoma biashara yangu. Hao wana faida gani kuishi?? Mtu anakuambia atakinukisha ili uchaguzi usifanyike, huyu naye mahali pake ni kabatini tu huko Ukonga
  6. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kyela: Kuporomoka kwa bei ya Kokoa kutoka elfu 25 hadi elfu 5 kumesabanishwa na nini?

    Nataka Erythrocyte aache kupoteza muda na siasa za CDM ajishirikishe na shughuli za kiuchumi
  7. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kyela: Kuporomoka kwa bei ya Kokoa kutoka elfu 25 hadi elfu 5 kumesabanishwa na nini?

    Muda wote uko JF kuishabikia CDM unategemea nani atalinda bei ya Cocoa.
  8. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Sasa wewe unaweza ukamfikia Yericho? Viko wapi vitabu vyako
  9. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Nitajie hayo makanisa 2,000 ya Gwajima yalipo. Mimi naijuwa vizuri mikia yote ya Tanzania hasa Miji Mikuu yake
  10. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Makanisa 2,000 ya Gwajima yako wapi? Nyie watu kuweni serious. Niko hapa Dar, kanisa la Ufufuo na Uzima lipo Kimara Kibo. Nitajie hayo mengine yalipo. Ted Cruz naye ni kiazi, anadanganywa na hao malaya waliokimbia Tz kuwa eti kuna uteswaji wa Wakristu, Wakristu gani wanateswa
  11. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Halafu katika € 400b, humo humo kuna gharama zao za management, M & E pamoja na programme audit ambazo zinafika €160 sawa na 40%. Vilevile utakuta ni vihela vinalwenda kwenye NGOs kama LHRC, WaterAid, Foundation for Civil Society etc Katika hizo zinazobaki hakuna hata senti moja inajenga...
  12. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kwani Samia si ajiuzulu tu

    Ajiuzulu kukufurahisha wewe?
  13. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    CHADEMA ni manyumbu, watamfuata Tundu atakachosema. Wenye akili walihamia CHAUMA.
  14. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kwani Samia si ajiuzulu tu

    Ni kifungu gani cha Katiba ya JMT kina elekeza hivyo?
Back
Top Bottom