Hizi taarifa za MMM zina chembe ndogo sana ya usahihi. Kuna majina ametaja ambayo nimeuliza mahali kwa records za benki husika sio wateja chefuchefu. Lakini pia uwezekano wa yeye MMM kupata taarifa hizi zote nyeti kutoka kwa mabenki tofauti ni mdogo,
Huyu MMM siyo wa kumuamini.
Usipokubali maamuzi ya Mahakama unakwenda kukata rufaa Mahakama ya Rufaa.
Mabenki yanashindwa makesi kwa kuwa wanakuwa "corrupted" kwenye stage ya credit application hivyo kutoa mikopo kwa makampuni ambayo hayako credit worthy.
Ukimpa applicant mkopo ambao...
Na bado hamjasema. Tuliwaambia Dikteta amekurupuka mkasema bi mbeba maono.
Maono ya kipumbavu ndiyo haya. Yeye amekufa na mliobaki hamuwezi ku afford airticket ya Dar- KIA.
Hakuna national airlines zinazopata faida kwa Africa labda Ethiopian Airlines pekee. Hawa KQ na SAA wamekuwa wakiripoti...
Tuangalie checklist ya kudeal na defaulters kwenye mabenki.
1. Kuna proof kuwa mkopo uliombwa na kuchukuliwa na the correct, responsible na accountable kwa kampuni?
2. Disbursements zilifanyika as agreed by the two parties?
3. Was the loan 'appropriately' secured?
4. Has the borrower serviced...
Mwezi Novemba mwaka 2014 Paul Makonda aliongoza kikundi cha kuvuruga mkutano wa Katiba wa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Katiba pale Ubungo Plaza. Alimkunja na kumburuza kama mhalifu. Hatukusikia kutoka kwa JK kama Mwenyekiti wa CCM wala Samuel Sitta kama Spika wa Bunge kujutia vitendo vya...
Ninamchikia kwa sababu Makonda ni mpumbavu fulani ambaye hajitambui. Ana amini ili yeye apande cheo lazima awasagie wengine waonekane siyo watendaji wazuri.
Serikali haifanyi kazi kwa namna hiyo. Ndiyo maana nimekuambia kuna ethics za public service. Huyo mburura wenu wa Kolomije hajui. Yeye anachotaka ni kujijenga tu kwenye mitandao
Hiyo siyo kazi ya Meneja wa TARURU. Hapo ndiyo mnajichanganya. Meneja wa TARURA ki-utendaji hawajibiki wala kwa wananchi wala kwa Mkuu wa Mkoa. Meneja wa TARURA anawajibika kwa DED ndani ya TAMISEMI kiutendaji (functionally). Na majukumuyake ni haya; (1) kufanya manunuzi na usimamizi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.