Recent content by Stuxnet

  1. Stuxnet

    Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

    Hizi taarifa za MMM zina chembe ndogo sana ya usahihi. Kuna majina ametaja ambayo nimeuliza mahali kwa records za benki husika sio wateja chefuchefu. Lakini pia uwezekano wa yeye MMM kupata taarifa hizi zote nyeti kutoka kwa mabenki tofauti ni mdogo,
  2. Stuxnet

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za uchi

    Huyu ashughulikiwe vilivyo kwa kuwa AMEPANIA sana kuwa mgombea wa CCM Kawe uchaguzi wa mwaka 2025
  3. Stuxnet

    Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

    Huyu MMM siyo wa kumuamini. Usipokubali maamuzi ya Mahakama unakwenda kukata rufaa Mahakama ya Rufaa. Mabenki yanashindwa makesi kwa kuwa wanakuwa "corrupted" kwenye stage ya credit application hivyo kutoa mikopo kwa makampuni ambayo hayako credit worthy. Ukimpa applicant mkopo ambao...
  4. Stuxnet

    Tunaombeni mrudisheni fast Jet ya kipato rafiki kwa Mtanzania, Air Tanzania sio huduma ya kijamii ni huduma ya Watanzania wachache matawi ya juu

    Na bado hamjasema. Tuliwaambia Dikteta amekurupuka mkasema bi mbeba maono. Maono ya kipumbavu ndiyo haya. Yeye amekufa na mliobaki hamuwezi ku afford airticket ya Dar- KIA. Hakuna national airlines zinazopata faida kwa Africa labda Ethiopian Airlines pekee. Hawa KQ na SAA wamekuwa wakiripoti...
  5. Stuxnet

    Asikilizwe Huyu Mzee tunaposema uchaguzi wa mwaka 2020 haukuwa uchaguzi bali ni uhuni muwe mnatuelewa!!

    Tatizo alikuwa ni Magufuli na ndiyo maana baada ya kumaliza ufedhuli huu akafariki kabla ya miezi 4. Mungu hazihakiwi
  6. Stuxnet

    Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

    Tuangalie checklist ya kudeal na defaulters kwenye mabenki. 1. Kuna proof kuwa mkopo uliombwa na kuchukuliwa na the correct, responsible na accountable kwa kampuni? 2. Disbursements zilifanyika as agreed by the two parties? 3. Was the loan 'appropriately' secured? 4. Has the borrower serviced...
  7. Stuxnet

    Siasa za Makonda ni kama za Trump wa USA sema tu Watanzania ni Washamba

    Upuuzi mtupu. Siyo lazima kuanzisha thread kwa kila kinachopita kichwani mwako
  8. Stuxnet

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Hapana. Huyu wa bidhaa za ngozi ni mtu tofauti
  9. Stuxnet

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Hizo sasa ndiyo adhabu za kujilimbikizia mali kwa dhuluma. Si wewe si kizazi chako hamufaidi.
  10. Stuxnet

    Una Miaka 30+ unafata nini night club?

    Mimi nina miaka 60 na Club nakwenda na totoz born 2000 naruka nazo kama kawa
  11. Stuxnet

    CCM ombeni msamaha kwa Jaji Warioba kwa kipigo cha Makonda Mwaka 2014 la sivyo Jini mlilolifuga litaendelea kuwasumbua

    Mwezi Novemba mwaka 2014 Paul Makonda aliongoza kikundi cha kuvuruga mkutano wa Katiba wa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Katiba pale Ubungo Plaza. Alimkunja na kumburuza kama mhalifu. Hatukusikia kutoka kwa JK kama Mwenyekiti wa CCM wala Samuel Sitta kama Spika wa Bunge kujutia vitendo vya...
  12. Stuxnet

    Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?

    Ninamchikia kwa sababu Makonda ni mpumbavu fulani ambaye hajitambui. Ana amini ili yeye apande cheo lazima awasagie wengine waonekane siyo watendaji wazuri.
  13. Stuxnet

    Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?

    Serikali haifanyi kazi kwa namna hiyo. Ndiyo maana nimekuambia kuna ethics za public service. Huyo mburura wenu wa Kolomije hajui. Yeye anachotaka ni kujijenga tu kwenye mitandao
  14. Stuxnet

    Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?

    Hiyo siyo kazi ya Meneja wa TARURU. Hapo ndiyo mnajichanganya. Meneja wa TARURA ki-utendaji hawajibiki wala kwa wananchi wala kwa Mkuu wa Mkoa. Meneja wa TARURA anawajibika kwa DED ndani ya TAMISEMI kiutendaji (functionally). Na majukumuyake ni haya; (1) kufanya manunuzi na usimamizi wa...
Back
Top Bottom