Recent content by Stuxnet

  1. Stuxnet

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Usidanganyike na nadharia. Mpaka ukope banki lazima uwe na dhamana, ni dhamana gani benki waliyoiona hadi wakamkopesha hela ya kumalliza hiyo nyumba. Lukuvi alipiga sana hela alipokuwa Waziri wa Ardhi kupitia viwanja alivyo jimilikisha
  2. Stuxnet

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Hatengenezeki kwa kizungu inasemwa he is beyond economic repair. Na hiyo kazi amepewa ili tuone udhaifu wake, na unaonekana tayari
  3. Stuxnet

    DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

    Umevaa mawani ya mbao huwezi kuoina
  4. Stuxnet

    DOKEZO Mradi wa SGR Mwanza Ndio Basi tena

    Negativity will kill you bro!! Hebu zipeni huru bongo zenu zichakate mambo kiuhalisia
  5. Stuxnet

    Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

    Hatuwezi kutawaliwa na shoga ambaye ni zerobrain pia. Hapo alipofika ndiyo mwisho
  6. Stuxnet

    Hoja nne za CHADEMA Mahakama ya Rufani katika mapitio kesi ya mgawanyo wa mali

    Uwezo wa uongozi siyo sawa, hata wewe unayo
  7. Stuxnet

    Hoja nne za CHADEMA Mahakama ya Rufani katika mapitio kesi ya mgawanyo wa mali

    Mnamaliza mwaka kwenye uongozi wenu mkiwa mnasugua soli za viatu kwenye corridors za Mahakama. Daaadadeki, uongozi ni kitu kimoja na uwezo wa kuongoza ni kitu kingine. Uwezo wa kuongoza siyo sawa na matako ambayo hata Heche John anayo.
  8. Stuxnet

    Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha

    Hapana endelea kuuza apples mitaani. Ila kuwa makini na Dudula
  9. Stuxnet

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Mental health problem is real, fika Mirembe wakutibu
  10. Stuxnet

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Unasubiri kufa tu kwa kihoro
  11. Stuxnet

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Kwanini unatumia fake name? Nawe huna tofauti na machawa pia
  12. Stuxnet

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Nyie ambao siyo machawa mna mchango gani hapa Tanzania? Mnakosoa wenzenu huku mnatumia majina feki ya King Kong III
  13. Stuxnet

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Hamna lolote mtafanya na hiyo ICC wala hatokuja tokea.
  14. Stuxnet

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Wewe nani wa kujua hali ya Rais aliyonayo? We si nabii koko tu!! Mwaka 2025 wote mlikuwa mnasema uchaguzi hautafanyika, mara oo sijui nchi imemshinda, mara ooh atapinduliwa? Kiko wapi?? Mwaka huu kila mkikaa mansema hamalizi 2026!! Mmebakia hamna credibility kwenye utabiri wenu wa kishenzi...
Back
Top Bottom