Wala Samia hakukosea, ila humu JF kila mmoja ana jibu lake Siyo kazi ya Rais Samia kuiijibia Russia kuhusu sanctions maana yenyewe ndiyo ina sanctions. CHADEMA fanyeni kazi za kuingiza hela achaneni na ushabiki mbuzi wa kukosoa kila ambacho Samia anafanya
Wala Samia hakukosea, ila humu JF kila mmoja ana jibu lake
Siyo kazi ya Rais Samia kuiijibia Russia kuhusu sanctions maana yenyewe ndiyo ina sanctions.
CHADEMA fanyeni kazi za kuingiza hela achaneni na ushabiki mbuzi wa kukosoa kila ambacho Samia anafanya
Samia alijibu sawasawa kabisa ndiyo maana mwandishi/ facilitator hakuuliza tena follow up question.
Swali tricky unalijibu kwa akili kubwa ili isiingie mtego wa kuuliza.
Msijifanye kujuwa kuliko wenye kazi zao
Nimekaa miaka 30 kutengeneza mtaji, wanakuja hao mahayawani wanachoma biashara yangu. Hao wana faida gani kuishi??
Mtu anakuambia atakinukisha ili uchaguzi usifanyike, huyu naye mahali pake ni kabatini tu huko Ukonga
Makanisa 2,000 ya Gwajima yako wapi? Nyie watu kuweni serious.
Niko hapa Dar, kanisa la Ufufuo na Uzima lipo Kimara Kibo. Nitajie hayo mengine yalipo.
Ted Cruz naye ni kiazi, anadanganywa na hao malaya waliokimbia Tz kuwa eti kuna uteswaji wa Wakristu, Wakristu gani wanateswa
Halafu katika € 400b, humo humo kuna gharama zao za management, M & E pamoja na programme audit ambazo zinafika €160 sawa na 40%.
Vilevile utakuta ni vihela vinalwenda kwenye NGOs kama LHRC, WaterAid, Foundation for Civil Society etc
Katika hizo zinazobaki hakuna hata senti moja inajenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.