Recent content by Stuxnet

  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Hata Dar ni kijiji kikubwa tu kwa mujibu wa tafsiri ya Mwabukusi
  2. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Kwani hali ya hewa ya Mbeya sasa hivi ni ngapi? Hebu kama kuna mtu mpigie akujuze au angalia google
  3. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Kuna mkoa Mbeya na Mkoa Kilimanjaro, pia kuna Jiji Mbeya na Manispaa Moshi. Sijui kama umenielewa
  4. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Picha ya Raisi zisiwakatishe tamaa. Tunaendelea kusimama upande wa haki, Basi tusiogope Mungu yupo upande wetu na tutashinda.

    Wewe ni sisimizi tu hauna lolote unaweza kufanya zaidi ya kutujazia pumba humu JF
  5. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Hali ya hewa inafika mpaka 8°Celsius usiku, unataka watu wa Mbeya tuendele kuzurura mjini ili tupate nini hasa??
  6. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Picha ya Raisi zisiwakatishe tamaa. Tunaendelea kusimama upande wa haki, Basi tusiogope Mungu yupo upande wetu na tutashinda.

    Miaka 5 utaishia na ndoto za mwendawazimu. Wenzenu wanajipanga na 2030
  7. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Narudi nikiwa unstoppable.

    K Wewe, hii ni forum ya watu wengi, si mazungumzo ya mtu mmoja unayemfikiria kichwani. Wengi hapa tunatumia anonymous identities, kwa hiyo kuandika kana kwamba una audience binafsi inayokuhitaji au inayokuhofia ni self-aggrandisement isiyo na msingi. Hakuna anayehitaji kujua “worth” yako, nani...
  8. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Kwanini ukereke na nguruwe wanatembea Mbeya? Mbona Mwembechai, Buguruni tunakutana na mbuzi wanatembea? Chuki yenu dhidi ya Mbeya itwaua
  9. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Hatujambo sema na wewe unatoka kijiji gani. Maana hata Far es Salaam nayo ni kijiji pia ukiacha maeneo ya City Centre, Kariakoo, Ilala na Kinondoni. Njoo hapa tuweke ligi na mimi. Nitakuwekea picha za Vingunguti au Kigogo usijekuzikataa
  10. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Na wewe unatoka kijiji gani tujuane kabisa. Maana Tanzania hakuna Jiji hata moja
  11. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Amjibu Heche "Uongozi wa nchi sio uji kwamba kila mtu anataka apewa kuonja"

    Familia 12 zinamiliki 40% ya uchumi wa Kenya. Income redistribution ya Kenya haitoi picha halisi ya uchumi wa Kenya. Unaposoma takwimu za uchumi usiishie kwenye GDP au per capita income. Inabidi uangalie pia na Human Development Index (HDI), Purchasing Power Parity (PPP) na Income redistribution
  12. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Watakuletea msukule wa Polepole ukiwa unatema mate, kula unga na kuchekacheka. Itawasaidia nini?
  13. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Yap! Mtoto hawezi kujuwa mazingira ambayo yalipelekea wazazi kutengana. Moja wapo ni hilo unamkuta mtu ana ku-ignore. Ndiyo maana kama amefikia umri wa 30+ asonge mbele tu
  14. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Usabato ni cult yaani itikadi. Kumtoa mtu anayeamini katika usabato ni sawa nakumuambia John Heche ahamie CCM leo. Ni rahisi kumlisha nguruwe Mwislamu kuliko msabato. Hawa jamaa kuna mwaka waliamua kwenda Ulaya bila tiketi wala passport, ila wakaishia pale Kipawa/ Karakata
Back
Top Bottom