K
Wewe, hii ni forum ya watu wengi, si mazungumzo ya mtu mmoja unayemfikiria kichwani. Wengi hapa tunatumia anonymous identities, kwa hiyo kuandika kana kwamba una audience binafsi inayokuhitaji au inayokuhofia ni self-aggrandisement isiyo na msingi. Hakuna anayehitaji kujua “worth” yako, nani...