Tanzania ni nchi yangu.Tanzania ni mahari patakatifu.Tanzania ni mahari pa utulivu na u salama.naumia ninapo sikia watu wakiizungumuzia Tanzania vibaya
Kwa sasa Tanzania hatuna shida ya kutembelea ulaya Dar Dodoma inageuka kuwa ulaya.kazi naajira ni zakumwaga. mpaka sasa viwanda vya kumwaga...
Napendekeza itafutwe njia nyingine ya kupata madiwani wabunge na Rais nje ya kupiga kura
Hii ndio njia pekee ya kujenga Amani utulivu na umoja wakitaifa. pia itakuwa njia ya kuepusha maafa na kutunza rasilimali zetu
pia hii itapunguza uhasama kati ya wachaguliwa na wachaguaji
Vijembe...
kwa mtazamo wangu hakuna jambo gumu na lenye kuumiza moyo hapa Duniani kama kuwa na swali ambalo hakuna anayeweza kukupa majibu yake au kuwa na tatizo ambalo hakuna anayeweza kulitatua au kudhulumiwa haki yako na asiwepo anayeweza kukupatia hiyo haki yako
Na kushukru Mungu Muumba mbingu na nchi kwa kuninyima kipawa cha Siasa. Sasa nakuomba Mora wangu uwanyime na uzao wangu kipawa cha Siasa utujari kazi yoyote ya kutupa ridhiki ila siyo ya Siasa
Asante Mora kwa kusikia maombi yangu.Amen
Katika maisha yangu natamani kuwa enzi watu waliotoa nguvu zao na hakili zako kupigania masirahi ya wengine. Africa tulijariwa kuwa na watu mashujaa ambao walikubari kuteswa na wakoloni kwa ajili ya Uhuru wa Africa
Siwezi kuwataja wote lakini nitawataja wachache yupo Nelson mandera South...
Kwa watu wote wanaopenda Siasa na kuzifatilia watakubariana na Mimi kuwa Naibu Rais wakenya Shujaa Wiliam Rutto ndiye mwana Siasa mashuhuri katika karine hii..Wiliam Rutto ni mwanasiasa ambaye amepitia vikwazo vingi na vya hatari pengine kuliko mwanasiasa yeyote Africa
Ushujaa wake...
Nimejaribu kufatilia siasa za Tanzania na shindwa kuelewa tunakoelekea.sielewi na sijui kama kuna mtu anaelewa.Nilikuwa mfatiliaji mzuri wa suala la bashite sijui limeishia wapi.
Kama aitoshi Taifa likaingia katika mshituko mkubwa kwa madiwani wa Chadema kujiuzuru kumuunga mkono Mh Rais...
Ndugu wa Tanzania wenzangu ni metafakari sana siasa za Tanzania ziliko toka zilipo na zinakoelekea. ushindani wa umashuri katika siasa za Tanzania nijambo linalopewa kipaumbele na wanasiasa wrote
Naomba kujua kwa mtazamo wa mtu mmoja mmoja ni mwanasiasa gani mashuhuri katika siasa za...
Ukakama wa IGP Siro umewamaliza na kuwakomesha kabisa wale waliopewa jina la wasiojulikana. watanzania laleni usingizi mtamu kula na kunywa Tishio la wasiojulikana halipo tens
Kweli nchi iliingiwa na hofu juu ya jambo hilo ila viva kamanda siro kuwakomesha watu hao wasiojulikana
Naandika kwa kujiamini kuwa Tanzania ambayo tuliingojea kwa shahuku.hamu nakiu tumeipata.kwanini nasema hivyo.nakumbuka jinsi mbunge Munyika alivyo simama bungeni na kutamka kuwa Serikali ya kikwete ni dhaifu.hata alipoombwa kufuta hiyo kauli aligoma
Leo wote tunakubari kuwa serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.