Recent content by STRUGGLE MAN

  1. STRUGGLE MAN

    Waafrika tunabaguliwa sana. Tupende vya kwetu. Mtoto huyu ilivyonyanyapaliwa

    Subir waje malgbtq utaona yanavyotetea ujinga
  2. STRUGGLE MAN

    NATO hatakiwi kishinda vita hii maana hana nia nzuri na dunia hii

    Nyinyi ndio mashetani wa dunia mnataka kuona damu zinamwagika kila siku
  3. STRUGGLE MAN

    "White widow" mjane mweupe anayeumiza vichwa vya majasusi duniani

    Serekali ya Kenya ilionywa sana kuwa wasiingie Somalia kwenda kuuwa watu lakini walikua wanaenda kuuwa wasomali na kuwabaka huku wakiwa wanapewa go ahead na Marekani na Israel, hayo yaliotokea ni matunda yake Hata hao ECOWAS wakija kutia kichwakichwa huko kwenye nchi za watu watafanyiwa kuliko...
  4. STRUGGLE MAN

    NATO hatakiwi kishinda vita hii maana hana nia nzuri na dunia hii

    Ivi nyinyi mna akili kweli? Hayo mambo yapo wazi sana ila mnajitia ukaidi na ugumu jujitoa ufahamu, tena labda nikwambie tu Putin kavumilia sana na ni mvumilivu kupita maelezo
  5. STRUGGLE MAN

    Waziri ataka Wajawazito wanaokunywa Pombe washtakiwe kwa Unyanyasaji

    Zile nchi zote upande ule wanakunywa pombe kama maji tu
  6. STRUGGLE MAN

    Iran wazipongeza nchi za Afrika kwa kuwatimua Wafaransa na Wakoloni wa Magharibi

    Wazungu wanavunja makubaliano, hawawezi kuvumialia
  7. STRUGGLE MAN

    India wabadili jina la nchi yao

    Ivi tutategemea misaada mpaka lini ?
  8. STRUGGLE MAN

    Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

    Na sisi si tunae masudi kipanya
  9. STRUGGLE MAN

    Tuko tayari kupigwa na kubaguliwa kwa kuitetea Israel

    Ww ni mgonjwa usiejitambua
  10. STRUGGLE MAN

    Kim Jong Un aka Kiduku kukutana na Putin, Marekani Wapagawa

    Kutest silaha sio kuomba, na wala hajasema kama kaomba soma vizuri, silaha zinaenda kutestiwa kama zaIran
  11. STRUGGLE MAN

    Marekani kuweka wazi kuhusu UFOs viumbe wa angani Aliens

    Waongo tu hao, kawaida ya Marekani ni uongo mtupu
  12. STRUGGLE MAN

    UAE visa-free travel: Over 80 nationalities can enter with a visa on arrival

    Ww unauhakika gani kama bandari bure, hakuna kitu hicho, usiasa mbaya sana, anyway tutafika tu
Back
Top Bottom