Recent content by strongfeelings

  1. strongfeelings

    Serious man needed baadae awe mume

    Ukitoa vigezo ni sawa Na kumkosoa mungu
  2. strongfeelings

    Amenifanya nakosa hamu ya kufanya mapenzi tena nini tatizo?

    Mi kuna demu nilimuomba papuchi alivokuja ghetto yuko safi baada ya story Na nn eeee bhana we yaan kitendo tu cha kuvua nguo ya ndan harufu kama mzoga vile mbona nilimwambia tumbo limeniuma ghafla. Yaan toka 2014 mpka leo hamu Na papuchi iliishaga NIWE tu mkweli jaman
  3. strongfeelings

    Ni mzuri nashindwa kumuacha na hajui kuwa nimeoa, nifanyeje?

    Thread nyingine hazifai kabisa yaan ni ujinga mtupu Na aibu kubwa.
  4. strongfeelings

    Kwa ulaji huu, wife mwambie mdogo wako(shemeji) arudi kijijini

    Kula tu yaan Kula tu Kula yaan inakukera una mapungufu balaa.
  5. strongfeelings

    Hivi wanawake mna nini? Yaani namtumia shemeji yenu text anajibu baada ya dakika 10 kupita

    Hata hii hali ndo niliyo nayo yaan natuma SAA mbili asubh anajijua SAA moja usiku .naona umuhimu wetu kwao ngoja ajiloge atume sms namjibu baada ya wiki si ndo wanavyotaka hawa viumbe bhana.
  6. strongfeelings

    Imeniuma sana baada ya kukuta hii meseji kwenye simu ya mpenzi wangu

    Moja ya kitu kinachowatesa watu wengi ni mapenzi yaan mapenzi kila Kona mapenzi.ila ukiona yanazidi kukutesa achana nayo kabisa Na utaishi safi
  7. strongfeelings

    Bomu hatari duniani lipo Russia!!

    Ngoja tuone Kadri siku zinavyoenda naona watu wanaoneshana maujuzi zaid.
  8. strongfeelings

    Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

    Mambo ya ndo duuuu ujinga xana bhan
  9. strongfeelings

    Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Nimesoma comments zenu ni nimeona haina haja ya kuoa over.
  10. strongfeelings

    Hii ya tezi dume Imenishtua kidogo

    Kwan uanaume kitu gan bhana urijali urijali ht kama ni mm ndo naumwa hata kama ndo nimebalehe natolewa siwez kaa Na ugonjwa et kisa uanaume never.
Back
Top Bottom