Eh eti DOGO...unapokuwa humu jamvini usitumie maneno ya dharau kama hayo mkuu...kuhusu hoja yako nilishakujibu kwa uzuri kabisa kuhusu mauzo ya duka langu kuathiriwa na kuzagaa hovyo kwa machinga hapa mjini ambapo wanauza bidhaa zao mbele ya duka langu
Sifanyi kazi serikalini mkuu wamachinga wanauza bidhaa zao mbele ya duka langu ambapo ninalipia kodi kubwa kwa ajili ya pango na bidhaa sasa Wateja wanaishia nje kwa machinga Mimi napata hasara sana hii imetokana na kuruhusiwa kusambaa kwa machinga bila mpangilio...halafu unadiriki kuniambia mm...
Mkuu wewe unaishi Tz kweli???..hali ilivyokua ngumu bado unadiriki kuisifia serikali loh kweli jiwe la mtoni hata likikaa miaka 1000 ndani ya maji halipitishi maji
ni college inayotoa masters na sio degree wala diploma sidhani kama iyo college ipo chini ya tcu wala nacte maana inatoa kozi za mambo ya defence na intelijensia pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.