Recent content by STRONG LADY MASAGARY

  1. S

    Histotechnology

    Wakuu naomben mwenye info kuhusu ajira za watu wanaomaliza bachelor of medical lab in histotechology
  2. S

    Ninywe Pombe Gani Wakuu Mkesha Wa Leo !!

    ama kweli yesu anafundisha ulevi chukulia hii siku kwa maana kubwa sana kiroho
  3. S

    Safi sana Konyagi, mmetuletea bidhaa zilizo bora, midomo haitanuka tena

    ila jua liver cirrhossis inakusubiri acha pombe hasa hizo zilizotokana na distillation mfano viroba ni hatari kwa afya
  4. S

    Uke una rangi gani?

    jibu swali coz kuna wa kawaida na unaoashiria magonjwa
  5. S

    Minyoo sugu aina ya Ascaris (Roundworms)

    Jamani, ina maana mada hamuioni?
  6. S

    Uke una rangi gani?

    Naombeni mnieleweshe, Nasikia kwamba Uke hujisafisha wenyewe na kutoa uchafu wa kawaida. Je, uchafu wa kawaida una rangi gani?
  7. S

    Subira yavuta heri- ngono zembe yaweza kuharibu maisha yako, ngono salama ndio mpango

    kusubiri hadi ndoa pia unajiepusha na dhambi kwan dini zote zinakataza sex before ndoa
  8. S

    Maswali ya kijinga na majibu ya hasira. Ongeza na ya kwako

    uko kwenye duka la nguo unaulizwa unapenda shati jeupe au lekundu jibu ; au
  9. S

    Minyoo sugu aina ya Ascaris (Roundworms)

    Nina rafiki yangu anasumbuliwa na minyoo sugu ya Ascaris (Roundworms) ametibiwa mara nyingi hosptali bila kupona afanyeje.
  10. S

    Inawezekana kusoma medicine bila kupita advanced?

    Je unaweza kusomea udaktari bila kupita advance, yaani kupitia chuo na ni colleges zipi unaweza kusomea?
  11. S

    Tuchekee: Maswali na majibu ya kuudhi

    unapenda rangi ya bluu au njano? jibu au
  12. S

    Furaha timilifu ya maisha ya mwanadamu inawezekana vipi?

    Kuamini kwamba mungu anakupenda hata pale umapopitia magumu
  13. S

    Shule nzuri za A - Level kwa Arusha

    kisimiri ni the best inaingia top 3 kitaifa hata iliboru is good
Back
Top Bottom