Recent content by Strong boy

  1. S

    JamiiForums Tanzania WASOMI" NA NDOTO ZA ABUNUASI

    Daah mbona kama una bifu na wenye degree hivi? Kwani wamepunguza nini kwenye maisha yako ?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Muziki na uchambuzi: Wimbo huu utateka hisia zako.

    Wimbo: Hisia za moyoni msanii: Songa ft Double mtayarishaji : Double studio : Tamaduni music Muziki mzuri ni ule wenye uwezo wa kuteka hisia za wasikilizaji. Wasanii wachache sana wanaweza kutengeneza muziki wenye kuteka hisia. Mfano msanii ferouz aliweza kuteka hisia za watu wengi katika...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kausikilize huu wimbo upate madini ya mtaani.

    siku za asosto, kazi kubwa na bora sana imefanyika mule ndani.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kausikilize huu wimbo upate madini ya mtaani.

    Bila kusahau ujumbe uliofikishwa vizuri kwa hadhira. Binafsi ni moja ya ngoma za hip hop ninazozikubali sana.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kausikilize huu wimbo upate madini ya mtaani.

    Hapana kaka, hiyo unayo iongelea wewe inaitwa soga za mzawa ambayo pia ndio jina la albamu. Ambapo katika hiyo hiyo albamu kuna wimbo unaitwa kesho yetu amemshirikisha songa , ndiyo wimbo niliouzungumzia kwenye uzi huu. Asante.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kausikilize huu wimbo upate madini ya mtaani.

    MUZIKI NA UCHAMBUZI Wimbo: Kesho yetu Msanii: one the incredible Albamu: Soga za mzawa Mtayarishaji: texas Studio: mlab ( tamaduni music) Muziki unaowakilisha utamaduni wa hip hop , umekuwa ni muziki unaopendwa duniani kutokana na vitu ambavyo vimekuwa vikizungumziwa na aina hii ya muziki...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

    So wewe unafikiri hayo uliyoyataja ni imperfections of creation? Mungu muumba ni most genious in the universe. Maisha yasingekuwa matamu ( yasinge kuwa na radha hii tunayo ihisi) kama hayo yasingekuwepo.
Back
Top Bottom