Recent content by striker mandingo

  1. striker mandingo

    Je, kuna ukweli wowote kuhusu hili?

    Nimepata kuwasikia baadhi wa mashabiki wengi wa timu tofauti tofauti wengine wakiwa miongoni mwa mashabiki wa Simba wengine nje ya Simba na baadhi ya wachambuzi wkisema TFF haopo sahihi kwenye uwamuzi wa kuipeleka mechi ya Simba na KMC kuchezwa Arusha kutokana na muda wa utoaji taarifa. Je, kuna...
  2. striker mandingo

    Najiweka pembeni juu ya huu Unafiki na Kuonewa wazi wazi kwa KMC FC ili tu Simba SC yangu itengenezewe Mazingira ya Kimagumashi iwe Mshindi wa Pili

    Kwan nan yupo nyumban na nani anatakiwa apange uwanja wa kucheza au ni nje ya hapo maana bado sijaona wap kuna shida
  3. striker mandingo

    Mke atumia meseji za Mume wake na Mchepuko kuandaa keki ya Birthday

    Ushasema mchepuko hao watu hawanaga vitanda ndani kwao... 😂😂😂😂
  4. striker mandingo

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Oyaa wanangu wa mnyama mkali vip tokeo huko visiwan
  5. striker mandingo

    Mgeni hapa

    asante sana kaja home tumempa 1 safiii tuuu
  6. striker mandingo

    Mgeni hapa

    pamoja sana
  7. striker mandingo

    Mtanange wa Klabu Bingwa Afrika: Al Ahly 5 vs Simba SC 0

    Bado dakika chache tuuu kwenda kuwapiga wale waarabu kule kule kwao. Mungu jalia SIMBA MUNGU jalia TANZANIA
  8. striker mandingo

    Mgeni hapa

    Al Ahly kama timu ya majimaji majibu mengine nitakupa baada ya mechi
  9. striker mandingo

    technology

    what is 1.fixed technlogy 2.flexible techinology 3.soft tevhnology 4.hard technology and its examples please
  10. striker mandingo

    Mgeni hapa

    mgeni jaman humu mwenye kuwepo karibu anipokeee
  11. striker mandingo

    MSIBA

    hhhhh liko pouwa mwanangu skul tunaruka nao tena kama kawa
  12. striker mandingo

    MSIBA

    Message…R I P OLIVER MTUKUZI. mwanamuziki mkongwe ndani ya Afrika amefariki siku ya jana akiwa hospitalin nchin kwao
Back
Top Bottom