Recent content by stressfree

  1. S

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    Mkuu ulitakaje labda???Awaache ukawa waendelee kupiga kelele ili rais ashindwe kuhutubia bunge?
  2. S

    Lubuva kushitakiwa mahakama ya Tanzania

    Masikini mnatia huruma😩😩 Siyo kwa kujifariji kiasi hicho, magufuli kuapishwa ni must hakuna wa kupinga, watz wamemchagua kwa kishindo, hutaki hama nchi😝😝
  3. S

    Lubuva kushitakiwa mahakama ya Tanzania

    Naona bado unaweweseka kwa ushindi wa magufuli, pole sana na endelea kujifariji
  4. S

    Mbinu ya kitoto iliyotegemewa na UKAWA!

    Tatizo la wafuasi wa ukawa ni kutokutaka kusikia ukweli mchungu kwao, ukijaribu kuwashauri utaishia kupata matusi na hicho ndo kilicho wa cost kwenye uchaguzi huu, wala msitafute mchawi
  5. S

    Magufuli aomba wananchi wamuombee

    Kama humpendi wewe sisi tunampenda sana tu, acha kusemea nafsi za wenzio
  6. S

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    Mkuu huwezi kufikisha ujumbe bila matusi? Jazba za nini au ndo kupanic
  7. S

    Masanduku ya kura yadaiwa kukamatwa jimboni Hanang...

    Habari yenyewe haijathibitishwa na huenda ni uzushi, mnachopanic na kutukana ovyo ni nini?
  8. S

    Ukomo wa Rais na Mawaziri kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Tanzania

    Wanatapatapa hawa watu utafikiri wanataka kukata roho
  9. S

    Mafisadi kuhamia CHADEMA?

    Nimepitia hii post mpaka nimetetemeka, kweli watu ni watabiri, mtoa mada salute kwako
  10. S

    CHADEMA is no longer 'Peoples Power'

    Kwani wao wanagombea urais? Tunataka rais safi ili ajenge team safi acheni magumashi bhana
  11. S

    CHADEMA is no longer 'Peoples Power'

    Chadema kumpokea fisadi mmoja na kumsimamisha kugombea urais wa nchi ni dalili ya kushindwa kupigana na ufisadi, na hii imepoteza imani tuliyokuwa nayo kuwa cdm ni chama cha ukombozi na badala yake naona wamekuwa tu wasanii wa kucheza na akili zetu
  12. S

    Matukio haya iweje yatokee siku moja?

    Ni kweli hazimtoshi, hata kama ni ushabiki wa kisiasa hauwezi kumtoa utu wake kiasi hicho, Mungu amsamehe
  13. S

    Ni wanasiasa gani unafikiri watanzania wanatakiwa wasiwaamini hata kidogo

    Mbowe ndo wa kwanza ambaye sitakaa ni mwamini, wa pili lowasa,
Back
Top Bottom