Natamani wote wajitoe, ili Watanzania tuanze kufikiria kwa kitumia vichwa vyetu. Haiwezekani madini tunayo ardhini, mbuga, misitu, rasilimali maji, rasilimali watu, ardhi nzuri ya kulima pamba, karafuu, kahawa n.k., tuache kutumia vyote hivi, tuishie kutembeza bakuli ulaya. Huu ni upumbavu, na...