Recent content by Strategicfight

  1. Strategicfight

    Kuitwa kwenye interview Tume ya Taifa ya Ukaguzi

    Kapige interview wakwetu, kuna moja hiyo ofisi hiyohiyo, nafasi zilikuwa mia, applicants walikuwa elfu 6, shortlisted wakawa buku 4. Mwisho wa siku mchizi hakuwa na refa wala nini, kapiga zake dua, kajifua na madesa katimba kwenye pepa ya written akapita, first list ya 100 hakuwepo, wakamtupia...
  2. Strategicfight

    Kuitwa kwenye interview Tume ya Taifa ya Ukaguzi

    Hapo mtaalam, piga nondo za shule katika field yako (chuo) kwa ajili ya written. Piga desa mwanangu kama unaingia kwenye pepa kabisa. Kuna jamaa yangu alifanikiwaga, hali ndo ilikuwa hivyo. Muhimu ni kumuomba Mungu.
  3. Strategicfight

    Kuitwa kwenye interview Tume ya Taifa ya Ukaguzi

    Mkubwa nadhani ni Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (National Audit Office), ndo umemaanisha
  4. Strategicfight

    GPSA: Tuhuma za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na mengineyo

    Kwa kiswahili WAKALA WA HUDUMA ZA MANUNUZI YA SERIKALI Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Strategicfight

    Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Hahah... anakwambia "stupid people are the rice of the cleverers", akimaanisha "wajinga ndio waliwao" Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Strategicfight

    Kwanini mathematics ni changamoto sana? Ni kutokana na msingi mbovu au changamoto za Waalimu tulikuwa tunapotoshwa?

    Wa EGM, ECA na HGE wote wanasoma hesabu. Lakini pia somo la uchumi chuo una hesabu za kufa mtu.
  7. Strategicfight

    Special kwa ma first born wote.

    Hahahah...! Au sio?
  8. Strategicfight

    Zijue sababu za first born wako au jirani yako kuwa wa kike!

    Bora umemwambia, mana kuna watu wakiwaza tu wanasema ni research
  9. Strategicfight

    Msaada kwa mlionitangulia masomo...

    Kama walivyokwambia wadau, social media achana nazo baada ya kupata mawazo uliyohitaji. Usikatishwe tamaa na baadhi ya comments. Tumia bando yako kwa ajili ya kutafuta materials mbalimbali hasa yale mambo unayoyakosa katika vitabu ulivyonavyo yanayohusiana na masomo yako PCM yaliyo katika...
  10. Strategicfight

    Serikali inatumia karibu mapato yote kulipa mishahara na kuendesha ofisi, this is ridiculous

    Yani hata mimi namfikiria hapa, atakuwa amemaanisha hivyo. Mana sio kwa jazba hizi. Anamaanisha Hao Afya na Elimu watajilinda wenyewe, watafanya kila kitu wenyewe. Kweli nazidi kuamini tumeumbwa tofauti sana. Anyway, mwache aseme, ndo uhuru wenyewe tena
Back
Top Bottom