Hii dunia ina mambo ya ajabu kweli.
Sasa ukishamsemea mwenzio kwa baba au kwa mama, then huyo mzazi wako anakusaidia nini!? Je atamwita amuelekeze jins ya kukushughulikia!??
To me it makes no sense.
Ya faragha yaishie faragha, na kama unakua faragha unashindwa kuongea unasubiri ukasemee kwa...
Mim nkafkir hata umepatwa na tatizo kubwa sana, au bidadada kakusngizia mimba. Kumbe unajaribu kuonesha vile hautaki kuchkua majukumu yako mpaka unapata depression,
Unataka uoe malaika au wa kwako ni special order
Bro, siku zote mwanamke hana huruma na maisha yako, na pengine labda ni kwasababu hua hawaoni kama kuna hatari yoyote mbeke ya safari au they dont care ata all.
Kwaio ukiruhusu mwanamke akushikie akili zako atazishika kwelikweli na atazitumia effectively.
Mimi (nkiwa form 4 shule ya boys)...
Very sad, kuna mdogo wangu kipindi tupo wadogo ilisemekana anahichokidude, wakampeleka kwa wataalam wakienyej wakakikata & sjui walikosea nini, mpaka leobwanamdogo hawaezi kuongea, uwezo wake pia wa kukontral ulimi wake ni mdogo na mara nyingi hua anajiumaulimi wakati wa kula. Udende unaflow mda...
Nikurekebishe kidogo, idadi ya misuli ni ilieile kwa mwanaume na kwa mwanamke, ila tu tofauti ni strength ya misuli kulingana na utofauti wa ukuji kati ya mwanamke na mwanaume.
Mwanamke anafikia ukomavu wa mwili haraka zaidi kuliko mwanaume.
Mwanaume anachelewa kufikia ukomavu wa mwili na hivo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.