Recent content by storyteller

  1. storyteller

    John Heche (CHADEMA): Wamepanga kutuvamia na kutudhuru nyumbani, safarini au tukiwa matembezini kisha taarifa za kipolisi zitasema - majambazi

    Kilichopo ni kwamba, wameshajihakikishia wafuasi hawana sumu, sasa nguvu ni Kwa viongozi. So kama wafuasi yawapasa kuchukua hatua... Gawanya nguvu yao.
  2. storyteller

    Nina ndoto Nina ndoto wa Tanzania wenzangu

    Akabis, akil umt iatafurah. Ilakin obad atunatak acham ekingin. Ato imiziz eyot akwanz
  3. storyteller

    GE2025 Ni ukweli ulio wazi kuwa Rais Samia alikuwa anamalizia ngwe ya mwisho ya hayati Magufuli. Mchakato mwingine ulipaswa kuanza upya

    Ulikua wapi kusema na kusimamia hilo tangu awali... Unadandia tu point za wanaume wenzako.
  4. storyteller

    Zembwela amewezaje kuwa Mwenyekiti wa waandishi wa habari katika Kikao cha Makonda Arusha badala ya Kikeke na Ivona Kamuntu?

    Waenye vyeti wamekuwa wajinga sababu kuna mahali tuliokosea tukakubali ujinga utuongoze. Kipaji ama uwezo pekee hauwezi kukufanya kuwa bora, lazma upikwe katika misingi flani ili utumie huo uwezo wako na kipaji kwa manufaa. Tulipoamua kudharau vyeti vya watu ndipo tulipoidhinisha ujinga...
  5. storyteller

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ali Kawaida, aachia comments kujadili suala la Humphrey Polepole

    Kaamua kuchagua vijineno kuunda sentesi zisizokuwa na mantiki... Kupitia hivyo vineno ajione ana busara wahedi... Eti "hulka sio nafsi".... Hii nini wajameni
  6. storyteller

    Vinyago vya sokwe ndio vinauzwa bei hivyo?

    Kwanini usithamini kazi ya mwenzako. Kama huwezi nunua kausha
  7. storyteller

    Nimewapiga wachawi—kipigo cha mbwa koko!

    Wakati ule nipo boarding schule niliwahi experience hii kitu mara kadhaa. Nilikua napenda kulala deka ya juu, siku moja likanikandamiza bhana, nikalipiga mateke mangumi nk liniachie, ofkoz jina la yesu lilitumika pia, linaniachia.... Asee sitak kusema kwamba ilikua illusion au nn ila nliona...
  8. storyteller

    Tetesi: Lissu kuachiwa kesho

    Akiachiwa inabidi chama kiwe na walinzi muda wote na alindwe kwa mzunguko wa mita mia mbili. Anapoenda vijana wawe washatangulia kufanya maandalizi ya kiulinzi... Jambo hili halipaswi kuchkuliwa kwa wepesi, hii ni hazina ya taifa inayoelekea kupotea, resources za kiulinzi zielekezwe kwake...
  9. storyteller

    Haikuwa Sahihi Kufanya siasa za kampeni ndani ya Kanisa la Arise and Shine

    Katika mambo yoooote yanayoongelewa juu ya siasa na dini, jambo la rise n shine limeonesha wazi na maana halisi ya kuchanganya dini na siasa. Na hii imeonesha wazi nani yuko nyuma ya hii mishen. Hata kama ni kuthibitisha uko karibu na wakristo/unaungwa mkono. Lakini bado subiri suprise...
Back
Top Bottom