Kilichopo ni kwamba, wameshajihakikishia wafuasi hawana sumu, sasa nguvu ni Kwa viongozi. So kama wafuasi yawapasa kuchukua hatua... Gawanya nguvu yao.
Waenye vyeti wamekuwa wajinga sababu kuna mahali tuliokosea tukakubali ujinga utuongoze.
Kipaji ama uwezo pekee hauwezi kukufanya kuwa bora, lazma upikwe katika misingi flani ili utumie huo uwezo wako na kipaji kwa manufaa. Tulipoamua kudharau vyeti vya watu ndipo tulipoidhinisha ujinga...
Kaamua kuchagua vijineno kuunda sentesi zisizokuwa na mantiki... Kupitia hivyo vineno ajione ana busara wahedi... Eti "hulka sio nafsi".... Hii nini wajameni
Wakati ule nipo boarding schule niliwahi experience hii kitu mara kadhaa.
Nilikua napenda kulala deka ya juu, siku moja likanikandamiza bhana, nikalipiga mateke mangumi nk liniachie, ofkoz jina la yesu lilitumika pia, linaniachia.... Asee sitak kusema kwamba ilikua illusion au nn ila nliona...
Akiachiwa inabidi chama kiwe na walinzi muda wote na alindwe kwa mzunguko wa mita mia mbili.
Anapoenda vijana wawe washatangulia kufanya maandalizi ya kiulinzi...
Jambo hili halipaswi kuchkuliwa kwa wepesi, hii ni hazina ya taifa inayoelekea kupotea, resources za kiulinzi zielekezwe kwake...
Katika mambo yoooote yanayoongelewa juu ya siasa na dini, jambo la rise n shine limeonesha wazi na maana halisi ya kuchanganya dini na siasa.
Na hii imeonesha wazi nani yuko nyuma ya hii mishen. Hata kama ni kuthibitisha uko karibu na wakristo/unaungwa mkono. Lakini bado subiri suprise...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.