Huna kazi ya kufanya mzee,
Lala ukue huu mtimu ulishajiozea unatafuta mtu wa kufa nao,njoo spurs kule furaha kila siku...
Piga asenane haoooooooo nyambaf
Taratibu tunajikongoja 3 points away.....
Naona future nzuri japo sikufurahishwa na matokeo ya mchezo haiwezekani jamaa wanapata goli kirahisi vile mpaka nikahisi zingekuwa dakika zimeongezwa 10 wangepata sare
Kwani unalipwa kiasi gani kwa kusema uwongo?
Kuwa mstaarabu liverpool,arsenal na man utd hawanaga tabia ya kufukuza wageni kwasababu ni washabiki wa kweli na wanajiamini lakini pia wana uwezo mkubwa wa kuaccept challenges kuliko nyinyi,
Ukishamuona mtu anamfukuza mwenzake katika uzi ujue huyo...
Uzi upo ila mods bado hawajauweka sticky,ila upo!mimi ni mwanaspoti na aio mbishani.
We unakaribishwa tu na wala hutosikia mtu anakufukuza kule ila utajipiga ban mwenywe kwa mafanikio yetu
Unajadili kuhusu timu yako?duh hayo majadiliano yako yana impact gani kwa chelsea mkuu?sio lazima kutetea ujinga kisa umefanywa na baba yako,alafu ukajidanganya ndio heshima hapo NYOTE MWAONEKANA WAJINGA.
Wewe akili zako ni fupi sana, @lembuMBUMBU yaani ni mbumbumbu na jina lako linaakisi ulivyo.....
Kaa tafakari jitathmini kama utakuwa ni fungu la kupata utajua unapojikwaa kila mara rudi jirekebishe uendelee positively ila kama fungu la kukosa endeleza huu upumbavu wako wa kudharau wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.