Recent content by STK ONE

  1. STK ONE

    Lowassa, Membe and Sitta: Unfit to Lead, Unprepared to Command

    Sijaangalia vizuri....lakini kama kuna jina la mtu anayeitwa Dr. WILBROD PETER SILAA, that's my best choice.
  2. STK ONE

    Picha: Nyumbani kwa The Late SACP Liberatus Barlow

    Vikao vya siku hizi bwana!! Hadi saa saba za usiku???? Inaonekana bajeti ya harusi ilikuwa kubwa sana na hivyo ANALYSISI yake ilitumia muda mrefu sana!!! Kazi kweli, usilo lijua.......!!!!
  3. STK ONE

    Picha: Nyumbani kwa The Late SACP Liberatus Barlow

    Mjinga tu, si angelala nacho tu hadi asubuhi????
  4. STK ONE

    Chama kinapowaondoa mashujaa wake: Mbowe, Slaa iweni makini

    Good analysis, umeandika mambo mengi kama si yote ya maana na yenye mashiko. No comment, natumaini wahusika watayafanyia kazi kwa faida ya chama na taifa kwa ujumla. Mwalimu Nyerere angelikuwa hai leo, angesema "Bila CHADEMA IMARA, nchi yetu itayumba"
  5. STK ONE

    Mhariri Mtanzania: Kwa siasa za shari, CHADEMA kinajifuta; marehemu alikuwa akiifanyia kazi CHADEMA

    Kwenye ukweli, tujitahidi sana kuusema ukweli, kama ni kisu, kisiitwe sime, na wala jambia. Sime ni kubwa kuliko kisu. Mwandish amechambua vizuri, na kama ni hoja amejitahidi kuzijenga. Japo kuna makosa madogo madogo ambayo yanaonesha dhahiri kuwa ana chuki au bifu binafsi na viongozi wakuu wa...
  6. STK ONE

    CHADEMA Kimara Mwisho wafunika

    Big up wote waliohama chama cha mabwepande.....
  7. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Haya kaka, ni haki yako kikatiba kutoa maoni yako.
  8. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Mbona avatar yako tofauti na contents ambazo unaandika? Usiwe vuguvugu, kuwa moto au baridi.
  9. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Zomba unaonesha umesoma tu heading ukaanza kuchangia. Nilijua kuwa thread ni ndefu ndiyo maana nika bold na kukuza maandishi ili yasichoshe kusoma. Ungelisoma yote, usingeliuliza najivunia nini? Jaribu kusoma japo aya ya mwisho utapata jibu la swali lako.
  10. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Nimemjuaje nani? JMK kuwa ni rais dhaifu? Sasa ki uhalisia, udhaifu wa rais ni jambo la mtu mzima kujivunia? Mbona mnaharibu maana ya GREAT THINKERS?
  11. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Siyo kwamba sikupenda unachojivunia, but I didn't see the clear relationship ya thread inayojadiliwa na link uliyonipa. Ungeweza kueleza mengi zaidi ambayo unajivunia kuwa Mtz ili ambao hawana access ya kuchangia wanufaike, japo wewe ni Kada wa ccm, lakini unajivunia nini kama MTz mbali na kuwa...
  12. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    How? Can you explan more? Wengi hawaelewi vipi unajivunia kuwa na Rais Dhaifu kama JMK? Eleza kama great thinker.
  13. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Hongera. Lakini ungeweza kuchangia more positively ili wengi ambao hawawezi kuchangia wanufaike na mchango wako. Anyway, pengine ndiyo level yako ya u great thinker.
  14. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Nimesoma hiyo thread yako na wachangiaji. Zomba mbona hakuna uhusiano wa thread yako na hii ya sasa? Usitake kuleata siasa kwenye mambo ya msingi yanayowagusa watz wengi hasa masikini. Usilete Uccm wako hapa. Jaribu kuhusianisha mambo kabla ya kuchangia, after all unaweza kusoma na kupotezea tu.
  15. STK ONE

    Unajivunia nini kuwa Mtanzania?

    Very good, Kweli unayo mengi ya kujivunia, nashngaa kwa nini sikuyaona yote hayo. Hongera sana.
Back
Top Bottom