Recent content by stive Rs

  1. S

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ahudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu, aelezea kusitishwa ajira za serikali

    Kiukweli speech ya Rais Dkt Magufuli aliyotoa ipo vizur ukisikiziliza unatambua kuna dhamira ya kweli maana ukiwa unatengeneza sehemu iliyobomoka huna budi kuondoa vitu vilivyopo wakati huo huwezi leta vifaa vipya inakubidi umalize matengenezo kisha ulete kitu mpya
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mwingine adakwa kwa kumkashifu Rais Magufuli kwenye mtandao wa "WhatsApp"

    Jaman kuandika jina au kutoandika haisaidii kujificha kama utaenda mrama na kwenye ujumbe wa kukashifu au kutukana tukifanya ufuatiliaji wa sms zetu tunaona kila kitu kuhusu usajili wa namba cha msingi tujitahidi kuandika kiungwana na kama una hasira tulia kwanza pamoja tuzingatie sheria hata...
  3. S

    JamiiForums Tanzania JWTZ Wakanusha taarifa za kuibiwa Kifaru

    Wapendwa naomba mnisaidie hili nimesoma hilo gazeti la dira nikaogopa kidogo kama si sana tu Jaman hivi kama kweli watu 20 wanatuhumiwa kwa kuiba kifaru kosa ni la Nani? Je wenye jukumu la ulinzi walikuwa hapo katika Lindo? Je uhifadhi wa zana hizo za kivita ktk jeshi huwekwa wapi nje kama...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Utapeli wa Mwakyembe wa Sh. Bilioni 2 wamwagwa hadharani

    Watanzania tuna katabia tulani hivi sikapendi kweli cha kusubiri kitu kitokee ndio tujifanye kushituka huo si ustaarabu hata kidogo hebu niulize hili na ndugu mnisaidie kuhusu Dkt Mwakyembe kama sikosei mb viti maalum Chadema Singida Jescah Kishoa alimpomtuhumu tulisema msafi lakn hatukutaka...
  5. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tafadhali sana, mtatuulia vijana wetu

    Nyie uwezo mdogo na akili ndogo kuongoza akili kubwa ni vigumu kila utakachoambiwa utaona kina ukakasi unaweza kuwa sahihi kutokuwa mwanachama wa chama hicho je unataka wengine wakufuate? Jiulize kwa jema lipi wafanye hivyo, kwa sababu gani pia na je ww upo sahihi kiasi gani na yy amekosa nn...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri Dodoma leo!!

    Nadhani tumekosa kitu cha kupongeza basi Kama hujaona cha kupongeza mie nakushauri umpongeze Mama na Baba kwa malezi yao ya upendo kwako unaweza kumpongeza mkeo au mmeo inaleta maana sio kujipendekeza kwa kitu usichojua undani wake
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mmewahi kujiuliza ni kwanini Mzee Mwinyi hadhihakiwi, hakejeliwi wala kutukanwa na yeyote?

    Mzee huyu alifanikiwa kwa kuwa alikuta nchi ikiwa inashida sana akaweka pesa kwa watu lakn pia majibu yake ya kimya yamekuwa sahihi kwa majira na kwa siasa za kukandamiza za akina Magufuli
  8. S

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa UKAWA,mnaona kinachoendelea Bungeni? Fikirini tena

    Jaman huwa nawaza nafikia sehem nachoka kuwaza coz sioni kama kuna uzuri kushabikia kitu ambacho hakina faida kwetu hivi kutokuepo kwa upinzani sie tunapata faida gani? Je wao hawakuenda kuwakilisha watu wao? Na kama bajeti itapita bila maboresho nini faida na hasara zake? Muhanga wa kwanza...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Rais Magufuli kufuta ubunge viti maalum, ni kwa kurejesha mapendekezo ya tume ya Jaji Warioba

    Itakuwa poa sana kama watafuta hvyo viti maalum lakn tunahitaji sana sana katiba ya wananchi ndio suluhu ya kila kitu maana hii katiba ya viraka inatutesa sana
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa chuo UDOM, Makamu wa Chuo nashauri wajiuzulu kuokoa hadhi ya Chuo

    Hata huko wapo kamanda ila halijavumburuka kama huamin upite uhakiki utaona
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa chuo UDOM, Makamu wa Chuo nashauri wajiuzulu kuokoa hadhi ya Chuo

    Mmmmh basi labda hufaham kitu nikufahamishe kuna watu wanaufaulu hadi three na wengine four sema hujafanya utafiti tu kwani isingekuwa sakata la UDOM kugoma ungejua kuwa wapo watu wenye ufaulu kiasi hicho?
  12. S

    JamiiForums Tanzania Je, ni HAKI ya mtoto wa Rais kuishi Ikulu ndogo Chamwino ilhali chuoni kuna nafasi ya kukaa?

    Duh jaman najua kuna wengine nitawakera lakn samahan sana kwa yule atakayejisikia vibaya kwanza nianze kwa kujiuliza kuna ubaya gani huyo binti kuishi ikulu ndogo alihali wazazi na ndugu zake wanaishi magogoni na hatuoni kama ni kosa? Pili je iwapo kama angeishi chuoni nn madhara yake? Tatu je...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa chuo UDOM, Makamu wa Chuo nashauri wajiuzulu kuokoa hadhi ya Chuo

    Jaman tuwe na ufaham kidogo badala yake tuache mzuka mwingi chuo kikuu chochote kile nchini kwetu huwa hakidahili wanachuo badala yake hupewa wanachuo na TCU ndio maana huwa tunaomba vyuo via TCU chuo wanachokifanya nikuomba kulingana na mahitaji na course wanazotoa kama wanahitaji BBA 200 TCU...
Back
Top Bottom