Last year mwishoni nlienda conference mambo ya Afya iliyofanyika moja ya nchi zilizopo kusin mwa Afrika ambayo ilikua na watu kama 5000 ambao wengi n kutoka nnchi za Afrika wana hudhuria, na mm nikiwa mmoja wapo. Katika hotel niliyofikia tulikua watu kama 50+ ivi ambao wote tunahuddhuria io...
Kuna workshop moja nlihudhuria jijini apa apa ambapo nimekuja kikazi kwa mda mm naishi mkoani. Sasa ile workshop facilitator walikua wawili Mwanaume 1 mwanamke 1 tumwite Q. Uyu dada alikua n mzuri jamani, sura, tako mwili, rangi, mguu kujua kuvaa na ana mwili mkubwa kiasi dizain mm napenda. Sasa...
Nipo kikazi mkoa XXX kwenye shirika moja lakin mradi unafanyika mikoa 2 ambayo yote naisimamia mim mwenyewe. Siku nipo home kuna ndugu yangu anasoma degree chuo uo mkoa mwingine akapost picha ya rafiki yake yeye anasoma diploma sio wanasoma nae anamuwish Happy birthday. Manz mkali saaana...
Nmedate wasomi feminist PhD wenye hela zao na hawa diploma unao suggest. Mm pia n msomi saaanaa. Nachoweza kusema ni hiki
- wasomi n wazuri sana kwenye mipango ya maisha na mkipanga hakika anataka mipango itimie. Apa naongelea kuongeza kipato, investment, kufanya biashara. Na apa lazma...
Watu mmeandika sana kuwa miss ma ex na faulo za mahusiano zilizopo kwenye kumbukumbu. Naweza kusema yafuatayo
1. Kila relationship ni tofauti, kuwa compare watu uliowadate na kutaka kujua nani zaidi its a waste of time. Kila mtu unakutan nae kwa wakati tofauti na mwingine na mahitaj yako ya ki...
Mda mrefu toke nipost humu anyways, nmesoma soma visa visa humu nimeona ni share hii story imetokea miez 2 imepita.
Nmeanza kaz mkoa xxxx hospital kubwa tu, mm sipo serikalini nipo taasis binafsi (NGO) ambapo natumia ofis na mratibu wa mkoa ambae n daktari with special focus kwenye hayo mambo...
Ji assess kwa makini ili uone vipengele vyako ujirekebishe. Wengi wa wanawake wenye vipato hujifanyaga super woman wakati mwanaume ni kichwa cha familia.
Hili ndo jibu sahihi kwenye hili umesema vema
Yule ex girlfried Phd holder pale UDSM, alikua na gari + anaezeka nyumba by then we meet penz lilikua tam sana ila zile ego za kujikuta larger than life nikashindwa tukaachana. Arguments kidgo atawakaaaaa ka mwalim wa zam had anakua mwekundu af anazila zila tu akimind hali ilyopelekea kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.