huu ndio udhaifu wa baadhi yetu wana cdm kwamba kukosoa ni chama ni dhambii..haingii akilini eti mkutano wa kampeni huoni jembe hata moja afu tuone iko sawa tuu.
ukweli kijana mwwnzangu alifanya kosa,kwa namna yoyote ile hakupaswa kufurahia vifo vya askari waliokuwa wanatimiza wajabu wao,kama kunamadhaifu aliyoyaona kwenye jeshi la police lau angeadress pasipo kushabikia kitendo cha mauaji tena hadharani..
Pamoja na tabia mbaya inayofanywa na askari police wengi, kupindisha haki kwa kitu pesa, lakini linapokuja swala la askari kuuawa linastikitisha na kufedhehesha. Jeshi la police nadhani sasa linapaswa kufanyiwa mageuzi upya, mzee Pombe, kama ukichukua madaraka, anza na kureform hili jeshi letu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.