Recent content by Stevow12

  1. S

    Naomba kujua kuhusu leseni ya biashara ya mtandaoni (Online Business)

    Habari, Swali langu ni uhitaji wa kujua kama unataka kutengeneza online service yako mwenyewe hapa Tanzania kama ya Paypal, je unahitaji kupata leseni ya biashara ya aina gani na gharama zake zinaweza kuwa kiasi gani. Mfano wale Nala Money wamefungua kampuni tu ya kawaida au kuna regulations...
  2. S

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Hamna mtu ana huo muda wa kuwafafanulia watu, xiaomi waje hapa wafanye matangazo yao then wakimaliza ndio watu waanze kuziuza sio mwenye duka ndio aanze kuzimarket simu za kampuni nyingine
  3. S

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    So watu wanauza iphones, samsungs wakose mtaji wa oppo?
  4. S

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Ukiona hivyo ujue demand ya viwa na tecno ni kubwa kuliko hizo unazotaka wewe, watu wachache wanajua kuhusu hizo oppo, na MI devices, sasa unataka mtu akanunue mzigo ajaze duka awauzie watu watatu kutoka jamiiforums, hamna mtu anafanya ujinga huo
  5. S

    Fight Night: Anthony Joshua ampiga kwa points Joe Parker

    Haiwezekani, uzito tofauti
  6. S

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Oppo A57 bei 410k Xiaomi Mi Note 4 bei 310k 0626872019
  7. S

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Kama vyuma vimekazi huwezi afford iphone X basi OPPO hawajakusahau
  8. S

    Tupeane fursa!

    Digesting
Back
Top Bottom