Habari,
Swali langu ni uhitaji wa kujua kama unataka kutengeneza online service yako mwenyewe hapa Tanzania kama ya Paypal, je unahitaji kupata leseni ya biashara ya aina gani na gharama zake zinaweza kuwa kiasi gani.
Mfano wale Nala Money wamefungua kampuni tu ya kawaida au kuna regulations...
Hamna mtu ana huo muda wa kuwafafanulia watu, xiaomi waje hapa wafanye matangazo yao then wakimaliza ndio watu waanze kuziuza sio mwenye duka ndio aanze kuzimarket simu za kampuni nyingine
Ukiona hivyo ujue demand ya viwa na tecno ni kubwa kuliko hizo unazotaka wewe, watu wachache wanajua kuhusu hizo oppo, na MI devices, sasa unataka mtu akanunue mzigo ajaze duka awauzie watu watatu kutoka jamiiforums, hamna mtu anafanya ujinga huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.