Mbowe, Lema, Lissu ni lile tabaka linalonufaiika na Chama tofauti na wale wafia chama wanaoaminishwa ni makamanda alafu wanakufa njaa.. Ndio Maana wameanza kustuka na kuchomoka mmoja mmoja wawaachie chama wala chama
CDM ni kama mkono na Fisi.. Unausubiria kwa kuamini ipo siku utadondoka ule.. Badala ya kufikiria kuchukua nchi.. Jengeni upinzani wa hoja sio kukurupuka.. Ndo Maana mnakimbiwa na wenzenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.