Recent content by steven_banga

  1. steven_banga

    Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

    All in all hamna haja ya kumpiga mwanamke kiasi hicho. Mmekutana mkiwa watu wazima kila mmoja akiwa na tabia zake,kwa hio kama mahusiano hayaendi kama ulivyo tarajia ni wewe kuondoka ukajaribishe na kwengine eti. it shouldn't always have to work out,
  2. steven_banga

    RIWAYA: Mume Gaidi

    mkuu hii kitu nimeipenda sana aiseey
  3. steven_banga

    RIWAYA: Mume Gaidi

    asante sana mkuu
  4. steven_banga

    Kama sex ingekuwa sababu ya ndoa...

    To keep a man happy in a marriage ni vitu 3: 1. Nice food 2. Nice sex sessions 3. Nice sleep/ peace of mind Sasa we mwanamke jiroge upunguze kwenye hio dose usije ukalalamikia matokeo yake.
  5. steven_banga

    Maamuzi magumu

    labda nianze kukuuliza kama utakuwa na shughuli yoyote ambayo twaweza kui boost ili iwe source ya kukupa pesa?
  6. steven_banga

    Naomba kujua ni aina gani hii ya tabia niliyonayo

    naweza kusema kwamba hii hapa ndio trigger ya tatizo lako ndugu yangu, the tym u dropped out of school na marafiki zako kukuongelea vibaya ndio imekupelekea kupoteza hata ile self confidence ulio kuwa nayo
  7. steven_banga

    Maamuzi magumu

    kama kweli kijana upo tayari kwa hilo basi nipo tayari kukusaidia.
Back
Top Bottom