Recent content by STEVEN SIMEON

  1. S

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    HUYU BWANA AMEONGEA KIENYEJI SANA, UKWELI UKO PALE PALE KUWA DUNIA NI MVIRINGO .WATU WALISHA PROVE.
  2. S

    Mkuu wa mkoa Tabora anatumia gari isiyo ya hadhi yake!

    wewe ndiye msemaji wake ?
  3. S

    Spika Job Ndugai yuko serious au analinda tonge?

    MMEANZA KUTOKA POVU SASA , NYIE MLIFIKIRI BUNGE HALIMPI USHIRIKIANO RAIS, SERIKALI , BUNGE ,MAHAKAMA VINAFANYA KAZI PAMOJA , WATU MSIO NA DIRA NYIE , KELELE ZENU ZINATIA KICHEFU CHEFU , TANGIA RAIS AAPISHWE HADI LEO MNAWAZA MAWAZO HEWA ,FANYENI KAZI. ACHENI RAIS AINYOOSHE NCHI .
  4. S

    Rais Magufuli akiamua kuwa Rais wa maisha kuna wa kumzuia?

    ACHA MAWAZO YA UCHOCHEZI RAIS ANA NIA YA DHATI YA KULIVUSHA TAIFA HILI WAPUUZI WACHACHE KAMA WEWE NDO MNAOMPINGA HATA AKITAWALA MIAKA 50 KWA KAZI HII ANAYOIFANYA TUTAMUUNGA MKONO ACHA UPOTOSHAJI.
  5. S

    Zitto: Magazeti mawili yakaliwa kooni kuvujisha siri ya uhusika wa Muhongo kupandisha umeme

    MHONGO NI WAZIRI BORA ZAIDI KATIKA SERIKALI HII ,NA AMETUPA UMEME WA UHAKIKA NCHI NZIMA. ATUMBULIWE KWA LIPI AU KAZI ZAKE HAMUZIONI , NCHI HII TOKEA UHURU HAIJAPATA WAZIRI WA NISHATI KAMA UMEME HUYU JAMAA AMEFITI KWELI KWELI ILA KUNA BAADHI YA VIPOFU WACHACHE WANAOPIGA KELELE LABDA MHONGO...
  6. S

    Hashimu Rungwe amtolea uvivu Rais Magufuli, ahoji nchi imepinda kuelekea wapi?

    AKAE KIMYA ALISHACHENGANA NA URAIS ,KWANZA MCHANGO WAKE NI MDOGO SANA KWA TAIFA HILI
  7. S

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    MTOA MADA INAONEKANA ALIKUWA MPIGA DILI MKUBWA MAGU AMEBANA KILA KONA HANA NAMNA ,FANYA KAZI ACHA MAJUNGU , HUNA NAMNA YA KUMWONDOA RAIS MADARAKANI HADI MUDA ALIOCHAGULIWA UISHE ,NA UKIISHA ATAONGEZWA MWINGINE KWA KAZI NZURI AIFANYAYO ,UTAISOMA NAMBA TU NA BADO HIYO NI TRELA ,MOVIE YENYEWE BADO
  8. S

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    SLAA NI MZALENDO , ANAONGEA UKWELI TUPU ,WATANZANIA WANACHEZEA RAIS AMBAYE NI ZAWAI KUBWA TOKA KWA MUNGU BAADA YA KUTUONA TUMETESEKA MIAKA MINGI ,NI JAMBO LA MUDA TU BAADAYE MAMBO YATAKAA SAWA
  9. S

    Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Bunge linaweza kumwondoa madarakani Rais

    MTOA MADA NDOTO HIZO HAZIWEZI KUTIMIA, NI WEWE TU AMBAYE HUIONI KAZI ANAYOIFANYA RAIS ,ILA WATANZANIA TUNAMKUBALI , UTABAKIA KULALAMA TU ,FANYA KAZI ACHA POROJO NA MAWAZO HASI
  10. S

    Dangote wamgomea Muhongo kwenye mkutano na wenye viwanda vya simenti, asema makaa hayatatoka nje

    WATANZANIA INATAKIWA TUJITAMBUE NA KUJIAMINI , IWEJE DANGOTE ATAKE KUAGIZA MAKAA YA MAWE S.AFRICA NA WAKATI HATA SISI TUNAYO KWA NINI TUYUMBISHWE , SERIKALI LAZIMA IWE NA MSIMAMO HATAKI AFUNGASHE KWANZA AMESHAWEKEZA KIASI KIKUBWA CHA PESA HIVYO KUHAMISHA KIWANDA HAWEZI ,LAZIMA AFUATE MASHARTI...
  11. S

    Hatari itakayoikumba Taifa

    HATARI ITAKAYOLIKUMBA TAIFA Kwanza nianze kwa kuipongeza serikali ya jpm kwa mazuri inayoyafanya ikiwemo kupambana na maovu,lakini naikosoa vikali kwa kubinya demokrasia na kuwanyima mikopo wanafunzi wa elimu ya juu ELIMU YA JUU Katika hali isiyokuwa ya kawaida taratibu za...
  12. S

    Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

    HATA MIMI NAUNGA MKONO MAGHEMBE HAENDANI NA KASI YA MAGUFULI, NI MZITO HAPA MHE. RAIS ALICHEMKA KWA HUYU BWANA, NINGESHAURI RAIS AMPUMZISHE
  13. S

    Bodi ya mikopo yakamilisha uchambuzi wa maombi ya mikopo, 20,183 wapata kati ya 88,163 walioomba

    . Uhitaji wa waombaji hususani wenye mahitaji maalum kama vile ulemavu na uyatima ii. Uhitaji wa waombaji wanaotoka katika familia zenye hali duni ya kimaisha o Wadahiliwa yatima waliopata mkopo 873 o Wadahiliwa wenye ulemavu wa viungo...
  14. S

    Tuzo ya Forbes ni Uongo, wapotoshaji wakamatwe na kufikishwa mahakamani

    wameisoma namba kampeni yao imeshindwa wanatapatapa baada ya kuona Rais anaongoza,hawa ndio mende kweli
  15. S

    Jee Wakubwa Nao Wamemchoka? Alianza Warioba, Ruksa then .......

    wewe kwa akili yako warioba na mwinyi wana ukubwa gani ,Mkubwa ni Rais aliyeko madarakani hao ni wakubwa kwako , na vile vile mliwatafasiri isivyo , acha unafiki kwa hoja isiyo na mbele wala nyuma. Utake usitake Rais ni Magufuli na atakuongoza tu hadi miaka 10 imalizike.Go ahead Mr President
Back
Top Bottom