Recent content by Steven Patricky

  1. Steven Patricky

    Bodaboda wanatuchunguza na kutujadili sana. Be warned

    Nimeelewa sana ushauri wa kuficha code kwa kupanda bodaboda mbili tofauti kuelekea kwenye destination fulani,,,aiseee hiyo imekaa kiandamizi sana
  2. Steven Patricky

    DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

    Kikweli vyuo vya binafsi kwa usafi wapo vzr sana mf Jordan University-Moro...Wafanyakazi wapo full time kufanya usafi kila baada ya masaa 3 au 4 kwa siku....
  3. Steven Patricky

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Lete daktari,,,ni kitambo sana
  4. Steven Patricky

    Ushauri: Nisome Masters UDOM au Jordan University?

    Kweli kabisa,,! Major supervisor na Minor Supervisor
  5. Steven Patricky

    Ushauri: Nisome Masters UDOM au Jordan University?

    Njoo Jordan mzee,,! Ukutane na wakina Prof Mushi,,Prof Mkude,,Prof Mapunda,,,!! Nasoma PhD hapa,,,hautojuta
  6. Steven Patricky

    Mwanafunzi wa chuo cha TIA Mtwara ajiua

    Riki booooooy!! Umeongea kiandamizi sana mkuu
  7. Steven Patricky

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ahsante sana mkongwe wa hiz kazi @ rikiboy...Leo nimeamua kumpotezeaaa kama simuoni vile,,,cheki hizo sms zake
  8. Steven Patricky

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Wakongwe vp aisee? Jana nimefelisha chama shubamit zangu..Jirani amekuja magetoni kuangalia sinema zetu mpaka usiku mkubwa..,ile nataka kuanzisha kimasihara tu,,mtoto kawakaaaa na kuamua kusepaa,,,kafika kwake kajifanya kunitext sms ya kuomba msamaha..ipo siku yake
  9. Steven Patricky

    Sababu kuu zinazofanya wanawake kuwanyima wanaume Unyumba

    Mzee! Umeongea kama muandamizi kwenye hii sekta,,,vijana tumekuelewa
  10. Steven Patricky

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Ndio mkuu... lazima usome notes na documents mbalimbali ili niweze kuandika thesis yangu vizuri
Back
Top Bottom