hongera mtukufu! Lakini mm ningependa uje na uchambuzi wa hayo cyo kuyaweka hap generally tu, mfano viwanda vingapi hivyo vpy? viko wap? vilianza kujengwa lini? kwa sh. ngapi? na vinazalisha nn?
ndo tulikofikia, nadhan tunahitaj kujitafakari upya kwa tz tuko salama na Mali zetu kwa kiasi gan? km vyombo vya ulinzi vinatuthibitishia kila ck kwmb hakuna shda tz then nan anayafanya haya?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.