Recent content by Steven Mruma

  1. S

    JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

    Ziwekwe hizo detail zote tuone kwanza hivyo vipande vya kuunga unga vimejaa kila mtu anavyo still bado kama ni ufisadi hauelekei kwamba pesa zote hizo zaidi ya bilioni 300 zilitafunwa na watu wachache na mbaya zaidi waliotajwa ukijumlisha pesa izo wanazoambiwa walilamba kwa waliotajwa kabisa...
  2. S

    Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

    Ni kweli ila pis Huku si kijijini sana lakini pia najua kibaha ama bagamoyo zipo sehemu bush sana hata huduma za shida sana.. mimi nakaa Tanga mjini asubui naingia job ni sawa na mtu anayekaa sinza kisha awe anafanya jazi mbezi mwisho ama kibamba. Ndio umbali wa kituo changu hadi katikati ya...
  3. S

    Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

    Hata kama upo Dar es salam unaweza kubadilishana kituo cha kazi. Wasiliana nami.
  4. S

    Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

    Bahati mbaya mimi sio afisa wanyama pori. Nadhani hii mesage yako angalau ungeifowad Tanapa.
  5. S

    Kubadilishana vituo vya kazi, Kada ya Kilimo

    Mimi ni afisa mifugo wa kijiji cha mtimbwani wilaya ya Mkinga na kijiji kipo kilomita 18 kutoka jiji la Tanga na huduma kama umeme na maji vinapatikana na nauli kutoka jiji la Tanga ni 1000/- tu. Kama upo wilaya ya kibaha, Bagamoyo ama wilaya yoyote ndani ya mkoa wa dar es salam na unapenda...
  6. S

    Vicky Kamata Adakwa na Polisi

    Mmmh sasa cha ajabu kipi hapa miaka kumi ni mingi sana katka kufanikiwa.. hata mitano tu ni mingi sana.. usjali si ajabu hata wewe siku unaweza lala ukaamka na fuko la hela..
  7. S

    Vicky Kamata Adakwa na Polisi

    Hapa tukitaka kuanza kuangalia sjui nani kafanya nini haisaidii lolote kama ni viti vya chumbani vya sebuleni mwisho wa siku nani anayefaidika?? Iwe wanagombania hayo mnayosema iwe kweli au iwe si kweli ni mambo binafsi ya ndani sisi yatatufaidia nini?? Bora tu kama wahusika wa ndani ya bunge...
  8. S

    Vicky Kamata Adakwa na Polisi

    Hapa lazima tuelewe kitu kimoja hawa wana bifu kubwa tena la zamani tu cha msingi waitwe na mamlaka husika iwe za bunge ama hata huko polisi waondoe tofauti zao waache kupigana vijembe ambavyo mwisho wa siku havitawasaidia lolote. Hawa ni viongozi tena vijana na bado wachanga walitakiwa kukomaa...
  9. S

    Vicky Kamata Adakwa na Polisi

    Hilo la kawaida sana hata wewe ukifanikiwa sana na kupiga harua kubwa wasikupenda na utawajua tu wabaya wako.
  10. S

    Yaliyojiri mkutano wa UKAWA na waandishi wa habari Makao Makuu ya CUF, DSM

    Ukawa walitakiwa kubaki bungeni na kupiga kura za hapana na kuyadhibiti hayo wakiwa bungeni dodoma ila mpo buguruni mtaishia kupiga makelele tu wenzenu wanafanya yao ila kama mngebaki kule mkaungana kwa ukawa wenu mkawepo palepale hayo mliyobwabwaja leo yasingefanikiwa sasa mnatangaza hayo ili...
  11. S

    Pinda akiuka maadili agawa rushwa kwa dola za kimarekani

    Tunadanganyana tu hapa kama ulimpa wewe..
  12. S

    UKAWA noma! Mbowe ateka Dar, prof. Lipumba ateka Kimanzichana na Mbatia Vunjo

    Nafurahi kuona ukawa wamejizatiti kutaka kuandamana lakini nina hakika hilo litakua jibu sahihi juu ya uugwani mkoni wao na wananchi waliowengi na waliowachache na hii itamua fursa ya wabunge walipo bungeni kutengeneza katiba kupima na kutambua wananchi wapo upande gani nao wakajipanga.. ni...
  13. S

    Vigogo na Wanasiasa waliofaidika na Fedha za Ufisadi wa IPTL hawa Hapa

    Wabongo bwana wengi hatushughulishi akili zetu tunaendeshwa kama mazombie mtu yeyote anaweza akakurupuka na kuanduka pumba bila kutafakari bila ushahidi watu wanakurupuka na kusapoti izo pumba, nlitegemea kuona watu tunaanza kuhoji amepata wapi na una ushahidi gani. kias icho cha pesa lazima...
  14. S

    Vigogo na Wanasiasa waliofaidika na Fedha za Ufisadi wa IPTL hawa Hapa

    Mnadanganyana tu.. ni sawa na muota ndoto ya mchana wakati anatembea.. LIZOMBIE
Back
Top Bottom