Jamiif ni bingwa wa kupenda na nikipenda huwa napenda kweli, thus why alivyonitenda hayo hasira imekuwa kubwa, kiukweli it woz mou zan serious relation, a hayo nlipanga april nikichukua leave nitie timu kwao, lakin nimekuelewa sana mpendwa na hakika nitayafanyia kazi ingawa kwa namna fulani nina...