Nahisi anakuwa navyo ofisini kwake,maana hadi sasa saa 9:15 hakieleweki kitu na wanafunzi wameamua kutoka madarasani,hebu wapigieni waandishi wa habari waje hapa maana hii ni habari tosha kabisa
Niko shule ya msingi Magoza iko huku kisukulu kwa ajili ya kusimamia mtihani wa darasa la saba,mpaka muda huu watoto bado hawajaanza kufanya mtihani,wameleta mtihani lkn karatasi za kujibia hazipo yaani hakieleweki kitu na wanafunzi wamekaa darasani muda mrefu wanasubiri hadi wamekata...
Umejibu vyema ila sio daktari tu anayejaza isipokuwa hiyo fomu hujazwa kwanza na polisi akieleza kilichotokea kwa mgonjwa/majeruhi maana ikienda plain daktari hawezi kukuelewa,
Kwa uelewa wangu mdogo kama hela unayo unalipa hapohapo na ikiwa ni ndani ya muda wa serikali kwa maana ya uwepo wa wahasibu ofisini unatakiwa upewe na risti kama muda wa wahasibu kuwepo ofisini umeisha basi utachukua risti siku nyingne na ww utaondoka na ile karatasi ya notification kama ni...
watanzania wenzangu wapenda haki,jambo la mhimu hapa ni kuwapiga chini ccm,tukiwapiga chini huenda hawa askari wachache wanaotii amri za kijinga watakoma,tujaribu vyama vingine tuone watafanya nini,kuna baadhi ya askari hawapendi kabisa mambo haya yanayofanywa na ccm tena wanatamani sana ccm...
Hayo ni majungu,ikiwa anafahamika atajwe ili kurahisisha kazi,kipi kinachowazuia kumtaja mtu ikiwa wanamfahamu....tumeshawachoka maana kula siku ni nyie tu utadhani mko peke yenu Tanzania,mbona upande wa pili hawasikiki?au nyie WAIS... ndo mnaijua sana dini?
Utakufa na chuki zako za kijinga dhidi ya polisi,hebu fikiria siku moja tu polisi watoweke Tanzania itakuwaje? Hizo benki kazi zitafanyikaje?LA MUHIMU WASHAWISHI NDG ZAKO WALIOKO HUKO VIJIJINI 2015 WASIIPIGIE KURA CCM TENA WAAMBIE NYERERE HAYUPO TENA MAANA WAO WANAJUA NDIYE RAIS HADI LEO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.