Recent content by steve_shemej

  1. steve_shemej

    Waliochochea vurugu washughulikiwe

    Kwann tusianze na watekaji? Au wew unaonaje tutaanzaje kula kiporo Cha Leo tuache Cha juzi?
  2. steve_shemej

    Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Mm ni muhanga wa kumshirikush mtu idea kisha kukuta kaifanya nimesema nahitj developer sijasemanahitaji mshirikaningehjgj mshiriki ningekuja na wazo ili atakarvutiwa tuungane mm tayari nina idea tyari nakuna angle nimeon haijaguswa bado hasa kwa hapa nchini Nishirikishe idea kesho niikute...
  3. steve_shemej

    Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Namtaka developer nimpe kazi nikiweka idea hapa unaweza kuamk ukakut watu wamepita na idea
  4. steve_shemej

    Site ya Millardayo inadaiwa host je ndiyo biashala ya blog hailipi au imekuwaje

    Site ya millardayo ipo down kwakuwa hajalipia host sasa mpk ashindwe kulipia host inamaana biashara ya blog ni ngumu au imeluwaje sizani kama amekosa pesa kulipia host
  5. steve_shemej

    Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Hilo mm nafaham but kuna angle bado haijaguswa hususani hapa tanzania naamini nitafanikiwa kupitia hicho kipengele
  6. steve_shemej

    Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Nahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
  7. steve_shemej

    KERO Malalamiko yangu dhidi ya NMB bank

    Vp kama sina pesa nyingine? Pengine hiyo pesa nalipia matibabu mtu si anafariki? Yaani ni bora mtandao wa simu kuliko bank kwenye ku refund pesa
  8. steve_shemej

    KERO Malalamiko yangu dhidi ya NMB bank

    Mimi nimekuwa mteja wa hizi bank za hapa nyumbani ila hii bank ya NMB ndiyo bank iliyoongoza kuniginbanisha na wateja Hakuna bank yenye mfumo mbovu kama nmb imagine nimefanya muamala kutoka nmb kwenda mtandao wa simu kupitia lipa mkononi muamala wa mwisho nimefanya jumamomosi saa moja hasubuhi...
  9. steve_shemej

    JIPATIE VIFAA VYA SIMU NA SMARTWHATCH KWA BEI YA KIWANDANI

    Kwa wauzaji wa vifaa vya simu wa jumla na rejareja nimekuja na suruhisho jipatie vifaa vya simu vyote kwa bei za viwandani kama ukichukua mzigo mwingi kutoka kwetu Kupitia sisi utapata fast charg kuanzia tsh 1800 utapata SMARTWHATCH kuanzia tsh 14000 utapata cover za simu kuanzia tsh 800...
  10. steve_shemej

    TV4Sale Jipatie Smart TV kwa bei ya kiwandani

    Ukiona umeanza kuwaza hvyo ujue unadalili ya kutokuwa na pesa mbona magari watu wanalipia wanasubiri likifika wanalipia kodi? Au hujui?
  11. steve_shemej

    TV4Sale Jipatie Smart TV kwa bei ya kiwandani

    Unataka tuanze kuoneshana mihuri? Pia uelewa wako mdogo kwahiyo viwanda vikitengeneza vinagawa bure? Unajitambua? Unaniambia eti hata nje sijawahi toka bro mm nishajaza passport mpaka nimepewa mpya alafu unaweza kusafiri still ukawa mshamba
  12. steve_shemej

    Sababu ya wastaafu wengi kuishi maisha magumu baada ya kustaafu

    Tumeshuhudia kundi kubwa la wastaafu kuishi maisha magumu baada ya kustaafu hii husababishwa na mambo kadhaa miongoni mwa mambo yafuatayo Kutojiandaa kustaafu Wafanyajazi wengi huwa hawajiandai kustaafu na wamekuwa wakiishi maisha kama watakuwa waajiriwa maisha yao yote hali inayopelekea...
  13. steve_shemej

    Hivi Mwendokasi ndo inakaribia kufa?

    Natamani nijue hivi shirika la mwendokasi "dart" ndiyo linakaribia kufa..? Nauliza hivi kwakuwa magari yanazidi kuchoka na hayaletwi magari mbadala shirika linatoa huduma mbovu bora hata ya daradara unakuta mfano kituo cha gerezani utakuta mfano foreni ya watu wanaosubiri kwenda kimara ipo kubwa...
Back
Top Bottom