Recent content by steve_shemej

  1. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Kila mtu atafikiwa kwa muda wake
  2. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Muamala huu na uneruri na mm nilikuw naskia tu kwa watu ila Jana imenikuta
  3. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Huenda bado hufanyi biashara
  4. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Unarudishwa na hawatoi taarifa
  5. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama

    Nimeona hii niilete kwenu Kama unajijua wew ni mfanyabiashara unapokea malipo kupitia lipa namba ya VODACOM haupo sehem salama Mm Leo nimepata mteja kutoka Moshi kanipa oda kalipia 60000 nikamfungia mzigo kamtuma mtu kuja kuuchukua baada ya kuuchukua karidisha muamala Voda hawajanipa taarifa...
  6. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Waliochochea vurugu washughulikiwe

    Kwann tusianze na watekaji? Au wew unaonaje tutaanzaje kula kiporo Cha Leo tuache Cha juzi?
  7. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Mm ni muhanga wa kumshirikush mtu idea kisha kukuta kaifanya nimesema nahitj developer sijasemanahitaji mshirikaningehjgj mshiriki ningekuja na wazo ili atakarvutiwa tuungane mm tayari nina idea tyari nakuna angle nimeon haijaguswa bado hasa kwa hapa nchini Nishirikishe idea kesho niikute...
  8. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Namtaka developer nimpe kazi nikiweka idea hapa unaweza kuamk ukakut watu wamepita na idea
  9. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Site ya Millardayo inadaiwa host je ndiyo biashala ya blog hailipi au imekuwaje

    Site ya millardayo ipo down kwakuwa hajalipia host sasa mpk ashindwe kulipia host inamaana biashara ya blog ni ngumu au imeluwaje sizani kama amekosa pesa kulipia host
  10. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Hilo mm nafaham but kuna angle bado haijaguswa hususani hapa tanzania naamini nitafanikiwa kupitia hicho kipengele
  11. steve_shemej

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu anaeweza kutengeneza android app kwaajili ya delivery

    Nahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
Back
Top Bottom