Mm ni muhanga wa kumshirikush mtu idea kisha kukuta kaifanya nimesema nahitj developer sijasemanahitaji mshirikaningehjgj mshiriki ningekuja na wazo ili atakarvutiwa tuungane mm tayari nina idea tyari nakuna angle nimeon haijaguswa bado hasa kwa hapa nchini
Nishirikishe idea kesho niikute...
Site ya millardayo ipo down kwakuwa hajalipia host sasa mpk ashindwe kulipia host inamaana biashara ya blog ni ngumu au imeluwaje sizani kama amekosa pesa kulipia host
Mimi nimekuwa mteja wa hizi bank za hapa nyumbani ila hii bank ya NMB ndiyo bank iliyoongoza kuniginbanisha na wateja
Hakuna bank yenye mfumo mbovu kama nmb imagine nimefanya muamala kutoka nmb kwenda mtandao wa simu kupitia lipa mkononi muamala wa mwisho nimefanya jumamomosi saa moja hasubuhi...
Kwa wauzaji wa vifaa vya simu wa jumla na rejareja nimekuja na suruhisho jipatie vifaa vya simu vyote kwa bei za viwandani kama ukichukua mzigo mwingi kutoka kwetu
Kupitia sisi utapata fast charg kuanzia tsh 1800 utapata SMARTWHATCH kuanzia tsh 14000 utapata cover za simu kuanzia tsh 800...
Unataka tuanze kuoneshana mihuri? Pia uelewa wako mdogo kwahiyo viwanda vikitengeneza vinagawa bure? Unajitambua? Unaniambia eti hata nje sijawahi toka bro mm nishajaza passport mpaka nimepewa mpya alafu unaweza kusafiri still ukawa mshamba
Tumeshuhudia kundi kubwa la wastaafu kuishi maisha magumu baada ya kustaafu hii husababishwa na mambo kadhaa miongoni mwa mambo yafuatayo
Kutojiandaa kustaafu
Wafanyajazi wengi huwa hawajiandai kustaafu na wamekuwa wakiishi maisha kama watakuwa waajiriwa maisha yao yote hali inayopelekea...
Natamani nijue hivi shirika la mwendokasi "dart" ndiyo linakaribia kufa..? Nauliza hivi kwakuwa magari yanazidi kuchoka na hayaletwi magari mbadala shirika linatoa huduma mbovu bora hata ya daradara unakuta mfano kituo cha gerezani utakuta mfano foreni ya watu wanaosubiri kwenda kimara ipo kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.