Wanahaki yakua wasaliti kwakua waliopokelewa chadema ni mafisadi waliowanadi Tz nzima, nawezakusema wale c waleta mabadiliko bali wanataka kuitenganisha Tz kwakuleta ukabila na udini. Nawapa big up sana @Dr slaa, @Plof Lipumba na Zitto hawa ndo mashujaa wa siasa👈👊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.